Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 588
- 951
Hii mada ina content mzuri lakini watu wanacomment kiudini sana bila kuzingatia ujumbe uliopo ndani yake.
What if tukiainisha sababu za msingi kama gharama na talaka ambazo huchangia vijana wa kiislamu kuoa mapema kuliko wenzao wa kikristo.
Je, vijana wa kikristo wanapenda kukaa na wenza wao bila kuoana hadi kufikia hatua ya kupata watoto? Na kama hawapendi kwa nini kusiwe na sababu ya kuangalia na kurekebisha (ikibidi) kanuni za kikristo zinazohusu ndoa na talaka ili kuleta urahisi katika maswala haya ya kijamii kuliko kusema uislamu unakariri wamekariri kuoa au Christians are westernized? Ikukumbukwe siyo kila umagharibi ni maendeleo.
Nadhani ni bora kuwa objective na kuangalia kwa nini kuna utofauti huo na je kuna haja ya kuondosha gap baina ya vijana wa dini hizi mbili?
Babu yangu aliwahi kunambia "Penda unapotakiwa kupenda na uchukie inapotakiwa kufanya hivyo"
What if tukiainisha sababu za msingi kama gharama na talaka ambazo huchangia vijana wa kiislamu kuoa mapema kuliko wenzao wa kikristo.
Je, vijana wa kikristo wanapenda kukaa na wenza wao bila kuoana hadi kufikia hatua ya kupata watoto? Na kama hawapendi kwa nini kusiwe na sababu ya kuangalia na kurekebisha (ikibidi) kanuni za kikristo zinazohusu ndoa na talaka ili kuleta urahisi katika maswala haya ya kijamii kuliko kusema uislamu unakariri wamekariri kuoa au Christians are westernized? Ikukumbukwe siyo kila umagharibi ni maendeleo.
Nadhani ni bora kuwa objective na kuangalia kwa nini kuna utofauti huo na je kuna haja ya kuondosha gap baina ya vijana wa dini hizi mbili?
Babu yangu aliwahi kunambia "Penda unapotakiwa kupenda na uchukie inapotakiwa kufanya hivyo"