Cassie amfungulia mashtaka Diddy yakiwemo madai ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia

Demu alikuwa na hamu tu ya kumchokoza mwamba
 
Tangu 2005 ndio anakuja kushtaki Leo alikua wapiπŸ€”πŸ€” tapeli huyu lakini kwa vile wanawake ndio wenye haki huko uzunguni mwanetu kayakanyaga
 
Washamalizana tayari nadhan didy kamlipa cassie pesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo didy kajichanganya kwa hiyo tusubiri episode nyingine. Maana makaburi ya baby momma wake Kim poter yashaanza kufukuliwa na mtu kafariki kitambo

Ila cassie kala kibunda 😁😁, 30m na wakati utajiri wake wote haufiki 10m.
 

cassie n shost yake Rita Zainabu [mention]Ritz [/mention]
 
Hapo didy kajichanganya kwa hiyo tusubiri episode nyingine. Maana makaburi ya baby momma wake Kim poter yashaanza kufukuliwa na mtu kafariki kitambo

Ila cassie kala kibunda 😁😁, 30m na wakati utajiri wake wote haufiki 10m.
Yameanza fukuliwa kim porter alikuwa anataka kuachia kitabu chake kuhusu maisha yake akafa ghafla na kifo hakieleweki
Wale aloanzisha nao lebo yake nao wamekufa wakitaka kuachia vitabu inaonekana kuna mengi ,mdogo wake kim p anasema didy alimbikiri Justin bieber ila kama kuna yana ukweli apate yanayomstahili tu siku hizi malipo hapa hapa dunian
 
Diddy anafahamika kwa roho mbaya.
Natumai siku taja ambapo atapatilizwa kwa yote aliyoyafanya..
No wonder Makaveli alikuwa hawapendi hawa wakora wa bad boy!
 
Duhhh ishakuwa story kubwa sasa. Ngoja niingie Twitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…