CCM ikitaka kupata Airtime ya kutosha iwanunue Mbowe, Mnyika na Tundu Lissu hawa mnaowanunua mtafirisika bila mafanikio

Chadema imeigawa nchi kwa Kanda , viongozi wa Kanda ndio walezi wa madiwani na wabunge wa kanda zote , ondoa shaka kwenye hilo
 
Mmeishiwa hoja sasa hivi mnaongea pumba.
Sasa uzi gani huu?
 
Katibu Dr Vicent Mashinji anasubiri kuteuliwa kuwa DC (Mkuu Wa Wilaya). Ama kweli watu wanazilawiti elimu zao. [emoji28][emoji1][emoji2]
Si Mashinji huyo tuliyekuwa tunapishana naye palu Ufipa labda mwingine. Hivi wajua ndiye msomi pekee kule kolomije? Hivi wajua ndiye jasusi lisomi lililokuwa kule ufipa kwa kazi maalumu?
Basi tutegemee licheo likubwa ka bhakshishi kwa kazi nzuri aliofanya kule
 
Some one is looking for survival but it is not SURVIVAL OF THE FITTEST. Yuda alitafuta survival kwa vipande 30 vya fedha but alisaliti.. na hivi haku survive!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nondo ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado kuna hali ya kuweweseka sana humu kwa hizi siku za karibuni. Jaribuni kujipa utulivu.
 
Bado kuna hali ya kuweweseka sana humu kwa hizi siku za karibuni. Jaribuni kujipa utulivu.
Tena wanaweweseka sana
Inawezekana Dr. Mashinji sio maarufu na hana ushawishi, bado ni vema kujaribu kujiuliza anaijua CHADEMA kiasi gani, yuko tayari kutoa siri kiasi gani
Wakati huo tuzingatie haiba ya chama chenyewe.
Chenye ubadhirifu, ukosefu wa demokrasia, upendeleo, umafia na udikteta wa Mh. Mbowe mtu lazima uwaze mara mbili.
Chama ambacho CAG Assad alisema kuna Akaunti mia,
hakuna daftari la mali za chama,
Chama ambacho wabunge wanachangishwa zaidi ya milioni 80 kila mwezi halafu baadae 3.6 Bilion zinazowekwa kwenye akaunti hiyo zinatoweka na hakuna mbunge mwenye ujasiri wa kuuliza.

Chama ambacho kila mwaka kinafadhiliwa na mwenyekiti hata kama wana RUZUKU inayokaribia milion 300
Chama ambacho wanaonunua gari kwa USD 63,000/= kisha Majanja mmoja najimilikisha
Chama chenye Red Brigade na kikosi chenye intelijensia kali kiasi hiki ......Basi ni wazi mtendaji mkuu akiamua kujilipua ni majanga sana
Huenda CCM hawajamnunua Mashinji Bali wamenunua taarifa alizonazo
 
Mashinji aliijua Chadema kuliko Dr Slaa ?
 
Halafu Ruzuku wamuacbie nani ?
 
[emoji16][emoji16]hii noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…