nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Hiyo PhD kasomea nini. Maana nyingi za kibongo hazina impact kwa jamiiKatibu Dr Vicent Mashinji anasubiri kuteuliwa kuwa DC (Mkuu Wa Wilaya). Ama kweli watu wanazilawiti elimu zao. [emoji28][emoji1][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app