CCM imeanza kampeni uchaguzi 2025. Jokate amuombea kura Samia, apiga magoti

CCM imeanza kampeni uchaguzi 2025. Jokate amuombea kura Samia, apiga magoti

Watu wakishiriki uchaguzi ntawashanga kweli

Ova
CCM haiwezii kubadilisha sheria za Uchaguzi wa mfumo wa Chama kimoja ni mpaka wawekewe vikwazo vya kutosafiri na kukamata fedha zao wanazoficha nje ya Nchi
 
Ukishakuwa kiongozi huna mambo binafsi, narudia tena kwa ninyi UVCCM , ukwa kiongozi wa umma hata ukipiga chafya inatuhusu watanzania wote.
Kwahiyo hata ukienda kulewa na kulala baa ni mambo yako binafsi, wakati unapogazma ujue kila kitu

Ukishakuwa kiongozi huna mambo binafsi, narudia tena kwa ninyi UVCCM , ukwa kiongozi wa umma hata ukipiga chafya inatuhusu watanzania wote.
Kwahiyo hata ukienda kulewa na kulala baa ni mambo yako binafsi, wakati unapogazma ujue kila kitu ni cha umma.
Kweli kuna mtoto anazaliwa hana baba au hili ni tusi laini linalokubalika kwa kuwa anayeshambuliwa ni Jokate. Unapoandika habari binafsi za viongozi uwe tayari kwa lolote hasa kama kuna chembe ya kumvunjia heshima kiongozi.
 
Kweli kuna mtoto anazaliwa hana baba au hili ni tusi laini linalokubalika kwa kuwa anayeshambuliwa ni Jokate. Unapoandika habari binafsi za viongozi uwe tayari kwa lolote hasa kama kuna chembe ya kumvunjia heshima kiongozi.
Kwenye makutano ya Ubungo, Mnazi mmoja , posta , oysterbay wale watoto wana baba?
 
Hapo unamtusi kiongozi, mtoto wake hayupo barabarani akiomba msaada.
Jiunge forum ya watoto huku hukuwezi, hujui lugha na naona unataka kunichefua tu, sana sana nitafukunyua habari zako nilale mbele na wewe
 


View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”
Single mother wa Taifa....

CCM inaweza kila kitu. Hata wakienda kupambana kuzimu kumchagua mtawala wanashinda kwa kura zote hata za shetty mwenyewe itahesabika kwao
 
CCM tumechelewa sana kuanza kampeni.Wenzetu Chadema walianza siku mrefu zaidi.
 
CCM tumechelewa sana kuanza kampeni.Wenzetu Chadema walianza siku mrefu zaidi.
Wanaomba miaka 5 kabla ya mitano kuisha, Wnomba waongezewe muda wa kuongeza nauli, kuongeza tozo , kukata umeme na kuboresha masiha ya wawekezaji na wamasai wote wahamie Tanga.
 
Kama Mtanganyika hawezi gombea urais Zanzibar kadhalika Mzanzibari hawezi gombea uraisi wa Tanganyika(Jamhuri ya Muungano). Ukweli mchungu apishe TU. Aking'ang'ana damu nyingi zitamwagika ili yeye ashinde na udhalimu mwingi kutendeka kisa kulazimisha mambo. Halafu watu tunapenda mabadiliko na mabadiliko ndo maisha. Huwezi kula ugali siku zote mpaka kufa, huwezi Vaa nguo moja mpaka kufa, sheria hubadilika, vitu hudadilika, CCM NINI HATA KISIJE CHAMA KINGINE!! .
 
Jiunge forum ya watoto huku hukuwezi, hujui lugha na naona unataka kunichefua tu, sana sana nitafukunyua habari zako nilale mbele na wewe
Tunashindana kwa hoja, si ushabiki, umwamba wa mitandaoni au nguvu yako ya kifedha. Huu mtandao ni wa kila mtu na tusitishane. Sentesi Kama hii ni nini? kama si utoto "nitakufukunyua habari zako nilale mbele na wewe". Ngoma hii umeshindwa kuicheza , umeisha choka kufikiri - mfumo dume, unatumia misuri kupenyeza hoja zake zinazozalilisha wanawake hasa wanaoonekana kufanikiwa kama akina Jokate. Aluta continua!
 


View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”
Unaweza kuw ana hoja nzuri lakini hapo mwanzo mambo ya Jokate kupata mtoto bila ndoa rasmi na baba wa mtoto kutojulikana sidhani kama yalikuwa na umuhimu sana.
 


View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”
Nchi inavituko sana hii, kweli nimeamini ccm aliondoka nayo Mwl Nyerere
 


View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”



View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”
Kama hiki kipindi cha "probation period" mambo yamekuwa hivi, itakuwaje akishaingia kipindi chake cha mwisho ambacho hatakuwa tena na wasiwasi wa kuja kuomba tena kura?!

Kwa kweli CCM mtuletee mwingine. Huyu wa sasa, hapana.
 
Hayo mambo binafsi ya Jokate unayaweka kwenye uzi huu kwa sababu gani? Wewe kama ni mtu uliyekamilika na huna madhaifu katika hii dunia, mshukuru sana Mungu lakini usiwabeze wasiokuwa na wenza.

Ukishakuwa public figure kubali kufatiliwa.
 
Extremely saddening. Haelewi utawala bora, inashangaza sana.

Kwa saab Jokate alisoma shule za awali ubalozini USA, wakati wanarudi nyumbani wao ndio walionekana wana exposure mtaani. Ungedhani labda msingi wa elimu ya uzunguni na exposure na Kiingereza vingemsaidia kuisoma zaidi dunia na kuelewa mambo ya utawala bora.

Cha ajabu yeye ndio ana act kiswahili kuliko viongozi wenzake waliozaliwa na kukulia Tandale, Liwale, Kisarawe, hawajawahi hata kuijua Nairobi.

Kwenye kusukuma maendeleo ya nchi Maadili na Uzalendo ni muhimu kuliko Elimu na Exposure.

Kweli sikutegemea jokate naye kubwa chawa. Hili inasikitisha
 
Back
Top Bottom