CCM imemlipia faini ya Tsh. Milioni 30 mwanachama wake Dkt. Vincent Mashinji. Atoka gerezani

 

Attachments

  • Screenshot_20200311-151857.png
    141.3 KB · Views: 1
Kwasababu hiyo hela itakayolipwa kutokana na adhabu walopewa wahusika ni ya serikaki hivo kunauwezakano hiyo hela kwaajili ya kumlipia Mashinji haijalipwa na hizo karatasi za kutuonesha kuwa wamelipia inawezakuwa wame zi counterfeit ili iinekane nao wamelipa wakati yawezekana hakuna hata sent ilokuwa deposited to account.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulifeli hesabu. 350,000,000/= - 30,000,000/=????
 
Nigrastratatract,

Kwa chama tawala kupelekeshwa na Chama kikuu cha upinzani kiasi cha kufanya ushabiki na ushamba mwingine usio na heshima ya chama chenyewe ni jambo la kuogopesha sana.

Yaani Mashinji ana thamani kubwa kuliko wanachama mamilioni wa CCM wanaohangaika na madeni na wengine wako gerezani kwa kukosa laki moja tu? Halafu wanaona wame score point....!!!

Kweli CCM kimeshikwa na wa kuja wasioelewa heshima iliyopo katika ya chama tawala na vyama shindani. Yaani wanashushwa chini kwenye vitukio vya kipuuzi puuzi tu utadhani hawana serikali ikulu?

Too bad for the fate of our nation.
 
Sasa kimada chako ukitoe Bukoba_Dar afu kimekumbwa na dholuba Fulani lazima ukisaidie kuonesha uanaume wako😂. Mashinji jiandae kulipa hizi pesa either ulale kwa waganga au ujitoe kuwa chizii kuropoka.
 
mzee pole2 kiasikinachochangwa na uma ni sh.350,000.000/=ambazo ni faini ya viongozi wote waliotiwa hatiani pamoja na huyo wako yuko kwenye hesabu sasa hizo zimechangwa kupitia a/c ipi ili na wengine wachangie ????
 
kiasi hicho kiko atakatwa kwenye hesabu za usajili hongera zake
 
Tulitarajia hili tangu jana
Hawana jipya,walitaka apige magoti vizuri zaidi na ahitimu kuwa full puppet wao.Walishajiandaa mapema hats kabla ya hukumu yenyewe,walikuwa wanzugatu.

Hii ni kampeni live, ili wapinzani wenye mashauri waunge mkono juhudi yaishe mifano ipo.
 
Polepole anafanya maigizo makubwa mno wanacheka yaani wanaona aibu kwa maigizo ya kitoto wanayoyafanya bila aibu najua kabisa wakienda nyuma ya Camera wanacheka kwa ujinga walioufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…