Ni kosa la kimfumo Si la Mwanafunzi binafsi,Sasa hilo kiusomi ni kosa la nani zaidi???Msomi husika au serikali ndugu???
Enzi zile Mwanafunzi alipaata uji na chakula Cha mchana shuleni,
Ndomana tunadai KATIBA mpya Ili tuiue ccm na mfumo kandamizi ktk Nchi.