CCM wenye akili na vyama vya upinzani wote wamegoma kucheza ngoma ya Makonda

CCM wenye akili na vyama vya upinzani wote wamegoma kucheza ngoma ya Makonda

Friends and our enemies,

'Anyone can become angry - that is easy.But to be angry with the right person,to the right degree,at the right time,for the right purpose,and in the right way - this is not easy.(ARISTOTLE,The Nicomachean Ethics).

'How you do anything,is how you do everything'...(Dante Alighieri)

Wahenga wanasema kwamba 'Kazi ya polisi,waachie polisi' (Leave the police work to the police), same applies kwenye siasa,wapo wanaosema kwamba kazi ya siasa waachie wanasiasa,lakini tukisema tuwaachie wanasiasa hii siasa pekeyao bila hata ya sisi watawaliwa kutoa mitazamo yetu matokeo yake ni kulia na kusaga meno.

Makonda au Bashite ni yule yule,hajawahi kubadilika,the way anavyofanya harakati zake ni vile vile ambavyo amekuwa siku zote anazifanya tokea amefahamika na hadhira ya macho yetu.

Miaka kadhaa iliyopita kipindi akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,JIJI lile halikuacha kuwa na heka heka na pilika kila siku,leo aite mkusanyiko na wamama wajane,kusikiliza kero zo,,kesho yake aite mkusanyiko na boda boda,mtondogoo aite mkusanyiko na walemavu na kadhalika.

Na katika hiyo mikusanyiko yake yoote kipindi hiko kilichokuwa kinafanyika ni kama hiki anachoendelea nacho sasa (How you do anything,is how you do everything)

Kilichotofautiana ni kwamba kwa sasa amepata milege ya kuvuka nje ya boda ya himaya yake ya awali na amepata coverage ya kuzungumzia vitu vingi zaidi ili aweze kuendelea kuvuta attention na sympathy za watu.

Nimependa sana namna ambavyo CCM wenyewe wenye kujitambua walivyoamua kukaa kimya na kumuachia uwanja aendelee na harakati zake,na siyo CCM pekee hata VYAMA VYA UPINZANI,pamoja na kwamba Makonda amekuwa anawachimba chimba na kuwachokonoa hakuna hata mmoja ambae amejaribu kucheza ngoma ya Makonda,ni ukweli usio na shaka kuwa wanamjua ni mtu wa aina gani na kujiingiza kwenye ngoma hiyo ni kujipotezea focus ya kufanya yale yaliyo ya msingi.

Makonda,anafanya kitu ambacho anahisi ni sahihi bahati mbaya sana approach ambayo anaitumia ni kujiweka karibu na kutumia mwamvuli wa mwenyekiti wa chama badala ya kutumia nguvu ya chama katika kuendesha ajenda zake,ni yale yale ambayo alikuwa anayafanya kipindi cha mwendazake ya kujiweka katika position ambayo ni yeye ni RC Muhimu zaidi ya wengine kias cha kufikia hatua ya kusema kuwa yeye ana nafasi kubwa katika nchi hii kuliko hao viongozi wengine,na hao wakubwa wao wanajua.,kiufupi ni RC ambae alikuwa untouchable kiasi kwamba hata pale alipovunja sheria kwa kuvamia Clouds Fm Kwa bunduki waziri aliekawa anahusika na habari alipojaribu kuingilia kati alipoteza nafasi yake kwa kutetea haki kisha yeye mvunja haki Makonda akaendelea kupeta.

Makonda ana haja gani ya kutembelea NYOTA ya Rais Samia kwa kusema kwamba anayofanya yoote katumwa na mwenyekiti wa chama aliemteua badala ya kusema kuwa hayo ni maagizo ya chama??implication yake ni ile ile ya kutaka kuonesha yeye ni smart kuliko wenzake machoni mwa mwenyekiti wa chama ili hali collectively chama hiko ni nguvu ya watu wengi(How you do anything, is how you everything)

Hakika ukimchambua Makonda unaona wazi wazi motive yake ya kujijenga zaidi yeye kuliko chama chake kupitia matatizo ya wananchi ambayo hata hivyo hayajawahi kupungua ndani ya TAIFA HILI,kwani lini Makonda amewahi kuwa MSAFI hadi afikie hatua ya kuguswa sana na haya wanayofanyiwa wananchi??

Case nyingi za kupotea kwa watu kipindi Cha mwendazake,uminyaji wa vyombo vya habari,dhuluma Kwa wafanyabiashara wengi mfano hata like sakata lake na GSM,kupigwa Risasi Kwa Tundu lisu,kudukuliwa conversations za simu za wale makada wa chama wakisema mwendazake,kuwakashifu viongozi wastaafu yeye na mwenzake Ally Hapi ukiunganisha dots zinafika kwake,Jeuri ya kusimama kifua mbele anazitoa wapi.

Nawapongeza CCM na VYAMA VYA UPINZANI waliotambua kuwa hiyo ngoma ni ngoma ya mchiriku na kuigomea kuicheza,kwa kuwa ''HOW MAKONDA IS DOING ANYTHING,IS HOW HE IS DOING EVERYTHING''...
Unaweza taja Mwana CCM au Kiongozi mmoja wa Serikali aliyekataa kucheza Ngoma ya Makonda? Na utoe ushahidi tafadhali!
 
Ukisoma vizuri historia ya Hitler, Mussolini nk, utaona picha halisi ya Magufuli na Makonda. Watu waovu huanza kama watu wenye Nia njema, na hutumia nguvu kubwa kujificha kwa wanyonge, lakini wakipata madaraka hufikia kufanya Hadi mauaji ya halaiki. Na mara mara nyingi hujifanya kumtaja Mungu mdomoni Ili kupumbaza watu, lakini dhamira zao huwa mbali sana na Mungu.
Mtu aliejitoa kusikiliza watu ndo hitaji letu wananchi hasa wale tuliotelekezwa kana kwamba sis si sehemu ya taifa letu, habari za akina musolin, Hitler na wengineo sis hatujihusishi nao maana hata hao unaodhani kwako ni bora sisi tuliotengwa tunawachukulia kama ni akina Hitler, kwakua tangu wawe pale walipo sisi bado hatujanufaika nao kama wanavojinufaisha wao.


Wananchi si wajinga kama unavofikiri, wanajua kila linalojili ktk taifa lao, kitendo cha kumwona MAKONDA kama kimbilio lao ni kutokana na ombwe lilopo inchini ktk uongozi.

Otherwise wenye mamlaka wafanye kujitathmin .
 
Mtu aliejitoa kusikiliza watu ndo hitaji letu wananchi hasa wale tuliotelekezwa kana kwamba sis si sehemu ya taifa letu, habari za akina musolin, Hitler na wengineo sis hatujihusishi nao maana hata hao unaodhani kwako ni bora sisi tuliotengwa tunawachukulia kama ni akina Hitler, kwakua tangu wawe pale walipo sisi bado hatujanufaika nao kama wanavojinufaisha wao.


Wananchi si wajinga kama unavofikiri, wanajua kila linalojili ktk taifa lao, kitendo cha kumwona MAKONDA kama kimbilio lao ni kutokana na ombwe lilopo inchini ktk uongozi.

Otherwise wenye mamlaka wafanye kujitathmin .

Chama chake kiko nchi nzima toka ngazi ya Kijiji na kata washindwe kusikiliza watu, ila mwanamazingabwe mmoja ndio aweze?! Wajinga ndio waliwao.
 
Mmekuwa kama Hamas kujifariji huku mnakufa!! Makonda ndo habari Na. 1 nchini kwa Sasa!!

Vyovyote mtakavyomtafsiri lakini ukweli ni kwamba jamaa kakamata kwelikweli!! Sasa hivi hata vyama vya upinzani vinaogopa aibu ya kufanya mikutano! Ndo maana Lissu kaamua kufanyia Mkutano redioni
Kweli kabisa
 
Ukisoma vizuri historia ya Hitler, Mussolini nk, utaona picha halisi ya Magufuli na Makonda. Watu waovu huanza kama watu wenye Nia njema, na hutumia nguvu kubwa kujificha kwa wanyonge, lakini wakipata madaraka hufikia kufanya Hadi mauaji ya halaiki. Na mara mara nyingi hujifanya kumtaja Mungu mdomoni Ili kupumbaza watu, lakini dhamira zao huwa mbali sana na Mungu.
Kwa hiyo?
 
Miaka kadhaa iliyopita kipindi akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,JIJI lile halikuacha kuwa na heka heka na pilika kila siku,leo aite mkusanyiko na wamama wajane,kusikiliza kero zo,,kesho yake aite mkusanyiko na boda boda,mtondogoo aite mkusanyiko na walemavu na kadhalika.
Aliita mpaka wachina wakaja na Boti kutoka Mashariki ya Mbali wakatua nanga Pale Kigamboni wakaja kutibu Walemavu😂😂
 
How do you waste your valuable time discussing Daudi Albert Bashite?

It is Mirembe case, if not behind bars
Kwanini nyie Wanaccm kindaki ndaki mnamkataa makonda? Si ndio anasaidia kurudisha imani chama kilichochokwa?
 
Makonda ana haja gani ya kutembelea NYOTA ya Rais Samia kwa kusema kwamba anayofanya yoote katumwa na mwenyekiti wa chama aliemteua badala ya kusema kuwa hayo ni maagizo ya chama??implication yake ni ile ile ya kutaka kuonesha yeye ni smart kuliko wenzake machoni mwa mwenyekiti wa chama ili hali collectively chama hiko ni nguvu ya watu wengi(How you do anything, is how you everything)
Kwa hili nakupinga. Ndani ya Ccm na Tanzania Mwenyekiti ni mungu wao. Hakuma wa kukohoa.
 
Kwani kila anayeteuliwa na Rais huwa ni mtu anayefaa? Rais ni mtu kama wewe, kuna maeneo anaweza kuwa sahihi, kuna maeneo anaweza kuboronga sana. Hili la Makonda, ameboronga sana.
Na watu wanaomfuata nao wameboronga?
 
Friends and our enemies,

'Anyone can become angry - that is easy.But to be angry with the right person,to the right degree,at the right time,for the right purpose,and in the right way - this is not easy.(ARISTOTLE,The Nicomachean Ethics).

'How you do anything,is how you do everything'...(Dante Alighieri)

Wahenga wanasema kwamba 'Kazi ya polisi,waachie polisi' (Leave the police work to the police), same applies kwenye siasa,wapo wanaosema kwamba kazi ya siasa waachie wanasiasa,lakini tukisema tuwaachie wanasiasa hii siasa pekeyao bila hata ya sisi watawaliwa kutoa mitazamo yetu matokeo yake ni kulia na kusaga meno.

Makonda au Bashite ni yule yule,hajawahi kubadilika,the way anavyofanya harakati zake ni vile vile ambavyo amekuwa siku zote anazifanya tokea amefahamika na hadhira ya macho yetu.

Miaka kadhaa iliyopita kipindi akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,JIJI lile halikuacha kuwa na heka heka na pilika kila siku,leo aite mkusanyiko na wamama wajane,kusikiliza kero zo,,kesho yake aite mkusanyiko na boda boda,mtondogoo aite mkusanyiko na walemavu na kadhalika.

Na katika hiyo mikusanyiko yake yoote kipindi hiko kilichokuwa kinafanyika ni kama hiki anachoendelea nacho sasa (How you do anything,is how you do everything)

Kilichotofautiana ni kwamba kwa sasa amepata milege ya kuvuka nje ya boda ya himaya yake ya awali na amepata coverage ya kuzungumzia vitu vingi zaidi ili aweze kuendelea kuvuta attention na sympathy za watu.

Nimependa sana namna ambavyo CCM wenyewe wenye kujitambua walivyoamua kukaa kimya na kumuachia uwanja aendelee na harakati zake,na siyo CCM pekee hata VYAMA VYA UPINZANI,pamoja na kwamba Makonda amekuwa anawachimba chimba na kuwachokonoa hakuna hata mmoja ambae amejaribu kucheza ngoma ya Makonda,ni ukweli usio na shaka kuwa wanamjua ni mtu wa aina gani na kujiingiza kwenye ngoma hiyo ni kujipotezea focus ya kufanya yale yaliyo ya msingi.

Makonda,anafanya kitu ambacho anahisi ni sahihi bahati mbaya sana approach ambayo anaitumia ni kujiweka karibu na kutumia mwamvuli wa mwenyekiti wa chama badala ya kutumia nguvu ya chama katika kuendesha ajenda zake,ni yale yale ambayo alikuwa anayafanya kipindi cha mwendazake ya kujiweka katika position ambayo ni yeye ni RC Muhimu zaidi ya wengine kias cha kufikia hatua ya kusema kuwa yeye ana nafasi kubwa katika nchi hii kuliko hao viongozi wengine,na hao wakubwa wao wanajua.,kiufupi ni RC ambae alikuwa untouchable kiasi kwamba hata pale alipovunja sheria kwa kuvamia Clouds Fm Kwa bunduki waziri aliekawa anahusika na habari alipojaribu kuingilia kati alipoteza nafasi yake kwa kutetea haki kisha yeye mvunja haki Makonda akaendelea kupeta.

Makonda ana haja gani ya kutembelea NYOTA ya Rais Samia kwa kusema kwamba anayofanya yoote katumwa na mwenyekiti wa chama aliemteua badala ya kusema kuwa hayo ni maagizo ya chama??implication yake ni ile ile ya kutaka kuonesha yeye ni smart kuliko wenzake machoni mwa mwenyekiti wa chama ili hali collectively chama hiko ni nguvu ya watu wengi(How you do anything, is how you everything)

Hakika ukimchambua Makonda unaona wazi wazi motive yake ya kujijenga zaidi yeye kuliko chama chake kupitia matatizo ya wananchi ambayo hata hivyo hayajawahi kupungua ndani ya TAIFA HILI,kwani lini Makonda amewahi kuwa MSAFI hadi afikie hatua ya kuguswa sana na haya wanayofanyiwa wananchi??

Case nyingi za kupotea kwa watu kipindi Cha mwendazake,uminyaji wa vyombo vya habari,dhuluma Kwa wafanyabiashara wengi mfano hata like sakata lake na GSM,kupigwa Risasi Kwa Tundu lisu,kudukuliwa conversations za simu za wale makada wa chama wakisema mwendazake,kuwakashifu viongozi wastaafu yeye na mwenzake Ally Hapi ukiunganisha dots zinafika kwake,Jeuri ya kusimama kifua mbele anazitoa wapi.

Nawapongeza CCM na VYAMA VYA UPINZANI waliotambua kuwa hiyo ngoma ni ngoma ya mchiriku na kuigomea kuicheza,kwa kuwa ''HOW MAKONDA IS DOING ANYTHING,IS HOW HE IS DOING EVERYTHING''...
Nani anampa bajeti ya kuzunguka na magari yote yale?

Kwanini wafanyakazi wa Serikali wanafunga ofisi na kuamdamana naye akiwa mkoa fulani?

Je hayo madhaifu anayoibua yamesababishwa na Serikali ya chama gani?

Je Rais Samia ni DHAIFU?

Je Samia anashindwa kuwapiga chini mawaziri aliowateua wenyewe hadi amtumie Zerobrain Makonda?
 
Nani anampa bajeti ya kuzunguka na magari yote yale?

Kwanini wafanyakazi wa Serikali wanafunga ofisi na kuamdamana naye akiwa mkoa fulani?

Je hayo madhaifu anayoibua yamesababishwa na Serikali ya chama gani?

Je Rais Samia ni DHAIFU?

Je Samia anashindwa kuwapiga chini mawaziri aliowateua wenyewe hadi amtumie Zerobrain Makonda?
Maswali yako ni mazuri,yenye akili,natafakari jinsi ya kuyajibu Kwa utuvu mkubwa.
 
Kwanini nyie Wanaccm kindaki ndaki mnamkataa makonda? Si ndio anasaidia kurudisha imani chama kilichochokwa?
Hawawezi kumpenda kindakindaki ni wezi,hawafanyikazi, na yeye yupo kuwa nyoosha,mama aliliona Hilo Wacha wapige kelele mwisho wimbo watauelewa na watauimba tu.wao bila chama Wana ujanja gani tena,chama ni chaka lao ngoja lifyekwe wabaki wazi.
 
Friends and our enemies,

'Anyone can become angry - that is easy.But to be angry with the right person,to the right degree,at the right time,for the right purpose,and in the right way - this is not easy.(ARISTOTLE,The Nicomachean Ethics).

'How you do anything,is how you do everything'...(Dante Alighieri)

Wahenga wanasema kwamba 'Kazi ya polisi,waachie polisi' (Leave the police work to the police), same applies kwenye siasa,wapo wanaosema kwamba kazi ya siasa waachie wanasiasa,lakini tukisema tuwaachie wanasiasa hii siasa pekeyao bila hata ya sisi watawaliwa kutoa mitazamo yetu matokeo yake ni kulia na kusaga meno.

Makonda au Bashite ni yule yule,hajawahi kubadilika,the way anavyofanya harakati zake ni vile vile ambavyo amekuwa siku zote anazifanya tokea amefahamika na hadhira ya macho yetu.

Miaka kadhaa iliyopita kipindi akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,JIJI lile halikuacha kuwa na heka heka na pilika kila siku,leo aite mkusanyiko na wamama wajane,kusikiliza kero zo,,kesho yake aite mkusanyiko na boda boda,mtondogoo aite mkusanyiko na walemavu na kadhalika.

Na katika hiyo mikusanyiko yake yoote kipindi hiko kilichokuwa kinafanyika ni kama hiki anachoendelea nacho sasa (How you do anything,is how you do everything)

Kilichotofautiana ni kwamba kwa sasa amepata milege ya kuvuka nje ya boda ya himaya yake ya awali na amepata coverage ya kuzungumzia vitu vingi zaidi ili aweze kuendelea kuvuta attention na sympathy za watu.

Nimependa sana namna ambavyo CCM wenyewe wenye kujitambua walivyoamua kukaa kimya na kumuachia uwanja aendelee na harakati zake,na siyo CCM pekee hata VYAMA VYA UPINZANI,pamoja na kwamba Makonda amekuwa anawachimba chimba na kuwachokonoa hakuna hata mmoja ambae amejaribu kucheza ngoma ya Makonda,ni ukweli usio na shaka kuwa wanamjua ni mtu wa aina gani na kujiingiza kwenye ngoma hiyo ni kujipotezea focus ya kufanya yale yaliyo ya msingi.

Makonda,anafanya kitu ambacho anahisi ni sahihi bahati mbaya sana approach ambayo anaitumia ni kujiweka karibu na kutumia mwamvuli wa mwenyekiti wa chama badala ya kutumia nguvu ya chama katika kuendesha ajenda zake,ni yale yale ambayo alikuwa anayafanya kipindi cha mwendazake ya kujiweka katika position ambayo ni yeye ni RC Muhimu zaidi ya wengine kias cha kufikia hatua ya kusema kuwa yeye ana nafasi kubwa katika nchi hii kuliko hao viongozi wengine,na hao wakubwa wao wanajua.,kiufupi ni RC ambae alikuwa untouchable kiasi kwamba hata pale alipovunja sheria kwa kuvamia Clouds Fm Kwa bunduki waziri aliekawa anahusika na habari alipojaribu kuingilia kati alipoteza nafasi yake kwa kutetea haki kisha yeye mvunja haki Makonda akaendelea kupeta.

Makonda ana haja gani ya kutembelea NYOTA ya Rais Samia kwa kusema kwamba anayofanya yoote katumwa na mwenyekiti wa chama aliemteua badala ya kusema kuwa hayo ni maagizo ya chama??implication yake ni ile ile ya kutaka kuonesha yeye ni smart kuliko wenzake machoni mwa mwenyekiti wa chama ili hali collectively chama hiko ni nguvu ya watu wengi(How you do anything, is how you everything)

Hakika ukimchambua Makonda unaona wazi wazi motive yake ya kujijenga zaidi yeye kuliko chama chake kupitia matatizo ya wananchi ambayo hata hivyo hayajawahi kupungua ndani ya TAIFA HILI,kwani lini Makonda amewahi kuwa MSAFI hadi afikie hatua ya kuguswa sana na haya wanayofanyiwa wananchi??

Case nyingi za kupotea kwa watu kipindi Cha mwendazake,uminyaji wa vyombo vya habari,dhuluma Kwa wafanyabiashara wengi mfano hata like sakata lake na GSM,kupigwa Risasi Kwa Tundu lisu,kudukuliwa conversations za simu za wale makada wa chama wakisema mwendazake,kuwakashifu viongozi wastaafu yeye na mwenzake Ally Hapi ukiunganisha dots zinafika kwake,Jeuri ya kusimama kifua mbele anazitoa wapi.

Nawapongeza CCM na VYAMA VYA UPINZANI waliotambua kuwa hiyo ngoma ni ngoma ya mchiriku na kuigomea kuicheza,kwa kuwa ''HOW MAKONDA IS DOING ANYTHING,IS HOW HE IS DOING EVERYTHING''...
Hate in a total sense, what a fool. Grow up
 
Back
Top Bottom