CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

Kwanini hauwi kiongozi ili tupate kiongozi mwenye "maono"?
Siyo kıla mtu ana kipawa cha uongozi, jambo ambalo CCM na wapinzani wengine hawataki kuelewa.
Hulka yangu ni biashara na kutembea dunia siyo kubeba majukumu ya kulinda, kutetea na kuwasaidia wananchi.
 
Akili kubwa vs Akili ndogo

Mpambano mkubwa na wa karne ambao una kila dalili za kuweza kumfufua Mama Tanganyika. Ngoma ikivuma sana hukaribia kupasuka. Mbereko la vyombo vya dola huenda linakaribia kuchanika sasa, toto limekua kubwa na zito, bado linadeka halitaki kuteremka mgongoni.
 
3. Polisi na majeshi nanyi teteeni nchi yenu Tanganyika na vizazi vyenu vijavyo. Msikubali kuwaumiza watanganyika kwa faida ya wazazibari na matumbo ya watu wachache.
Ndio utaelewa kwanini wanaofanya vibaya darasani wasio na akili kabisa ndio wanachukuliwa na watawala wakatumike kwenye majeshi na vyombo vya usalama kama majibwa ya kuwalinda watawala
 
Wote hawa wanajua umuhimu wa uwekezaji pale bandarini, ila wamewa brainwash ili wapate political mileage na public stunt.
 
Siyo kıla mtu ana kipawa cha uongozi, jambo ambalo CCM na wapinzani wengine hawataki kuelewa.
Hulka yangu ni biashara na kutembea dunia siyo kubeba majukumu ya kulinda, kutetea na kuwasaidia wananchi.
Kama hauna "kipawa" cha uongozi utaujuwaje "uongozi" mpaka uweze kusema wenzako hawawezi?
 
Unajitoa ufahamu sio??? jumlisha hizo trillions zitakazoingia kila mwaka kwa muda usiojulikana, wewe vipi???
Hizo trillion ni ngapi? Ina maana kila mwaka bandari itakuwa inauzwa? Sijitoi ufahamu ni kwamba hueleweki au huo mkataba hujauona unatupigia tu kelele hapa?
 
Tafakarini pesa ya uchagizi safari hii wameipata wapi? Kama hatujasahau madudu yote makubwa makubwa yalifanyika kabla ya chaguzi,ukiona ufisadi mkubwa nchii hii na viongozi wanashadadia tilia shaka mwizi ni ccm Ila safari hii kagusa pabaya!
Hili sio Siri Mwinyi Mkapa na Kikwete walikili CCM kuhusika na ufisadi ili ipate pesa za kugharamia chaguzi. Si mnakumbuka kuhusu Ile T 1.5 za Magu?
 
Kweli chama hichi ni chama cha majambazi
 
Maswali ya hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…