Katika uigizaji wake sijwahi kuona ameng'aa zaidi ya kuvaa misuli tu.We utakuwa hujakutana na mkojani unaweza dhani wale wauza maji wa kariakoo na zile ndevu zake kama chanuo
Unaweza kuta yeye pamoja na urefu wake, ila mama samia hata hamfahamu, ila Lulu Mama Samia hata akiamshwa usiku akaonyeshwa picha, atasema huyu ni Lulu, na huenda akahudhuria msiba wake.Sasa ufupi na urefu una tatizo gani hadi uwe disappointed???
Uongo ktk lipi mtoto?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] acha uongo wee.
Aah Baba levo ni comedian wa kuzaliwa mkuu,anapoongea halazimishi kuchekesha,Ila unajikuta Tu umechekaKatika uigizaji wake sijwahi kuona ameng'aa zaidi ya kuvaa misuli tu.
Lakini mkojani hanaga makuu na huyo ni komedian wa kuzaliwa sio wa kuigiza kama babalevo
Uchawa unamharibia hadi anaharibu mkuiAah Baba levo ni comedian wa kuzaliwa mkuu,anapoongea halazimishi kuchekesha,Ila unajikuta Tu umecheka
Nilicheka sn juzi
Wiki iliyopita WASAFI walikuwa bungeni,wakatambulishwa Kwa majina kuanzia kiongozi mkuu Hadi ww mwisho.Ilipofika zamu ya Baba levo wabunge walipiga sn makofi
Sasa kichekesho ni siku ya ijumaa ya juzi yupo studio,anasimumia jinsi ilivyokuwa bungeni wakati anapigiwa makofi
Anakuambia asee Mimi Baba levo militia sn aibu bungeni Yani,akaulizwa why? Akajibu wakati wabunge wanampigia makofi mengi akawa anajiuliza hivi hawa wabunge haya makofi mengi hivi wanayonipigia ni Kwa sababu wanajua Mimi ni mtu wa hovyo hovyo na naishi Kwa uchawa au kuna tatizo lingine [emoji28]?
Alafu mbn HR wamempigia makofi machache lkn Mimi ni mengi hivi,huku si kufitinishana na bosi huku [emoji28][emoji28][emoji28]
Moja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed [emoji20]
AiseeMoja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed ๐
Aah Baba levo ni comedian wa kuzaliwa mkuu,anapoongea halazimishi kuchekesha,Ila unajikuta Tu umecheka
Nilicheka sn juzi
Wiki iliyopita WASAFI walikuwa bungeni,wakatambulishwa Kwa majina kuanzia kiongozi mkuu Hadi ww mwisho.Ilipofika zamu ya Baba levo wabunge walipiga sn makofi
Sasa kichekesho ni siku ya ijumaa ya juzi yupo studio,anasimumia jinsi ilivyokuwa bungeni wakati anapigiwa makofi
Anakuambia asee Mimi Baba levo militia sn aibu bungeni Yani,akaulizwa why? Akajibu wakati wabunge wanampigia makofi mengi akawa anajiuliza hivi hawa wabunge haya makofi mengi hivi wanayonipigia ni Kwa sababu wanajua Mimi ni mtu wa hovyo hovyo na naishi Kwa uchawa au kuna tatizo lingine [emoji28]?
Alafu mbn HR wamempigia makofi machache lkn Mimi ni mengi hivi,huku si kufitinishana na bosi huku [emoji28][emoji28][emoji28]
Huishi na huyo mzee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uongo ktk lipi mtoto?
Analazimisha tu, wala sio commedian yule.Aah Baba levo ni comedian wa kuzaliwa mkuu,anapoongea halazimishi kuchekesha,Ila unajikuta Tu umecheka
Nilicheka sn juzi
Wiki iliyopita WASAFI walikuwa bungeni,wakatambulishwa Kwa majina kuanzia kiongozi mkuu Hadi ww mwisho.Ilipofika zamu ya Baba levo wabunge walipiga sn makofi
Sasa kichekesho ni siku ya ijumaa ya juzi yupo studio,anasimumia jinsi ilivyokuwa bungeni wakati anapigiwa makofi
Anakuambia asee Mimi Baba levo militia sn aibu bungeni Yani,akaulizwa why? Akajibu wakati wabunge wanampigia makofi mengi akawa anajiuliza hivi hawa wabunge haya makofi mengi hivi wanayonipigia ni Kwa sababu wanajua Mimi ni mtu wa hovyo hovyo na naishi Kwa uchawa au kuna tatizo lingine [emoji28]?
Alafu mbn HR wamempigia makofi machache lkn Mimi ni mengi hivi,huku si kufitinishana na bosi huku [emoji28][emoji28][emoji28]
Duh hilo la ndevu lilinisumbuaga sana kabla ya kujua mambo ya filter...manake demu namjua ana ndevu na madoa kibao lakini akipiga picha hana ndevu wala chunusiTatizo filterz nazo zinachangia...
Demu akijipiga selfie na ka filter kwa mbali Kisha akapost unaweza sema rihana au Beyonce huyu hapa ...
Sasa kutana nae live... Utamkimbia walah, ukimsogelea ndio kabisa
Wengine hadi ndevu utaziona lkn kwenye selfie hazionekani
Tatizo lenu nyie ni wabishi sanaItoshe kusema ufupi siyo ugonjwa, nasi tuna haki ya kuish kwa amani kwny hii dunia.....๐
Kila mtu n mbishi, lkn mmeamua tu kututupia lawama.Tatizo lenu nyie ni wabishi sana
Yes it's trueBut Ana kasura kake kazuri tu na karangi
Tatizo lenu nyie ni wabishi sanaItoshe kusema ufupi siyo ugonjwa, nasi tuna haki ya kuish kwa amani kwny hii dunia.....๐
nyie watu wafupi hamkubali kushindwa sababu ya inferiority complexKila mtu n mbishi, lkn mmeamua tu kututupia lawama.
Uwoya ushawahi kumuona live? Au akiwa kapigwa picha bila yeye kujua?Waseme wote ila sio UWOYA.
Case Closed
Ingia YouTube angalia nyimbo ya Rayvann- unaibiwa,Yule Mzee mwenye vidotidoti usoni,pia ana mabango mengi mabara barani au Kama unatumia crdb acc siyo Jambo geni kumuona kwenye screen za ATMHuishi na huyo mzee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]