Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naungo mkono hoja,niliwai kukutama na dog janja yaani ni mfupi tofauti na unavyomuona kwenye kideo
π€£Itoshe kusema ufupi siyo ugonjwa, nasi tuna haki ya kuish kwa amani kwny hii dunia.....π
π€£π€£π€£
Huyo msanii anaitwa nani??.Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe
Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kama huelewi maana ya celebrities humu kwenye Celebrities forum umefata Nini??"Celebraties" ndio kitu gani?
I am chasing your American Dream.Kama huelewi maana ya celebrities humu kwenye Celebrities forum umefata Nini??
Achana na muonekano ...kwa kuombaomba sasaMoja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed [emoji20]
Hapo ndo kwenyeweπ€£π€£Achana na muonekano ...kwa kuombaomba sasa
Best of luckI am chasing your American Dream.
Fall Army WormIngia YouTube angalia nyimbo ya Rayvann- unaibiwa,Yule Mzee mwenye vidotidoti usoni,pia ana mabango mengi mabara barani au Kama unatumia crdb acc siyo Jambo geni kumuona kwenye screen za ATM
Pia nyimbo mpya ya Baba levo,gnako ft jux,zuchu-mwambieni,20%-nyumba ya milele, diamond-hiyo
Inshu siyo huyo mzee,inshu ni hao wasanii wanakuja home mara Kwa mara alafu nawaona wa kawaida sn
Km unabisha njoo ghetto,anapenda totozi km wewe vibaya mno[emoji28][emoji28]..alafu km unataka connection ya WCB kufanya collabo nione pia[emoji28]
Nimetumia nguvu nyingi sn kukuua[emoji28][emoji28]
Ha ha ha ππNlienda kulala keko kuna gest flani ni nzuri ila ipo sehem za kihunihuni balaa na ni uswahilini hatar full wavutabangi, mashogs sema ina ac basi na eneo hilo jirani hakuna ac na nikaribu na ofisini kwangu yaan walking distance
Sasa naingia saloon kuyoa mara nikamwona mtu anafanana na ben kinyaia naye ananyoa kwanza nikashtuka, ben maeneo haya maana huwa namwona bonge la bishoo, kumbe ndo maeneo yake. Nikamujliza wewe ni ben ama nimekufananisha akasema ndie.
π€£π€£πMi nilikutana na Jerryson tegete kaitesi tabata akanambia bro mi ndo Jerry tegete nilicheza yanga ndo nkamwangalia nkaona niyeye tukapeana tano akanipiga kizinga cha 10 akahamia meza nyingine
Lina naye mfupi. Halafu na Tom Cruise
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maelezo yote haya kisa nn wee?Ingia YouTube angalia nyimbo ya Rayvann- unaibiwa,Yule Mzee mwenye vidotidoti usoni,pia ana mabango mengi mabara barani au Kama unatumia crdb acc siyo Jambo geni kumuona kwenye screen za ATM
Pia nyimbo mpya ya Baba levo,gnako ft jux,zuchu-mwambieni,20%-nyumba ya milele, diamond-hiyo
Inshu siyo huyo mzee,inshu ni hao wasanii wanakuja home mara Kwa mara alafu nawaona wa kawaida sn
Km unabisha njoo ghetto,anapenda totozi km wewe vibaya mno[emoji28][emoji28]..alafu km unataka connection ya WCB kufanya collabo nione pia[emoji28]
Nimetumia nguvu nyingi sn kukuua[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na muonekano ...kwa kuombaomba sasa