Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
kama aliingia madarakani kijeshi ni kawaida kwenda frontKibaraka wa Ufaransa na ni kawaida yake yeye na watoto wake wote wa kiume kwenda mstari wa mbele, waasi wameshawahi kumfikia mpaka nje ya ikulu akawapigia washikaji zake wakifaransa wanakuja kutuliza.RIP ITNO DERBY DARFUR watakukumbuka kwa kuwapa tafu wasiteketezwe na waarabu.
Mke wake probably ndio the most beautiful first lady in Afrika, mtoto bado mbichi kabisa dah! ya Mungu mengi, apumzike kwa amani mjeda
Hata Nyerere alienda Kagera mbona. Ndion maana ya Amir jeshi mkuuHuyu jamaa hakujua maana ya delegation of power?
Rais unaenda vitani? Shughuli nyingine nani atafanya?
Embu tupia kapicha kake tumuoneMke wake probably ndio the most beautiful first lady in Afrika, mtoto bado mbichi kabisa dah! ya Mungu mengi, apumzike kwa amani mjeda
Kama mtoto katangazwa Rais,bado ngoma nzito hapo...Habari za kifo chake haziko wazi, ila ni kama amekufa kwa majeraha ya risasi, na mtoto wake anayejulikana kwa jina la Kaka ametangazwa kuwa rais wa mpito.
Jeshi litaongoza nchi kwa miezi 18/mwaka 1½Duh.
Hapo Makamu ndiyo ataapishwa au ni watarudia tu uchaguzi?
Naaam naaam, naaam swadaktaa..!!Mke wake probably ndio the most beautiful first lady in Afrika, mtoto bado mbichi kabisa dah! ya Mungu mengi, apumzike kwa amani mjeda
Huyu wamemuondoa tu kiana. Safi sana.Ndio dawa ya Madikteta
Si nasikia kapewa mwanae, wataendelea kula keki gaoKabila lake la zaghawa liwe tayari sasa kuonewa kwasababu ndio walikuwa wengi jeshini na kutawala kila sekta. Hawa zaghwa wamilion tano na zaidi. Sudan Magharibi wako million mbili laki nbe, kusini mwa Libya wako elfu kumi na chad wako million mbili laki mbili.
Makabila mengine ya chad waliwapinga sana kwa sababu walienjoy keki ya taifa. Ni ufaransa iliyomuunga mkono na labda iliyomuua.
Zaghwa ni makabila ya sahel
Huyo huyo binti Mussa kiongozi wa Janjaweed alimuona mwaka 2012.Anao watatu unamsemea yupi, mkewe wa mwisho ni mtoto wa kiongozi wa Janjaweed wa Sudan na alioa 2019, mtoto wa kiarabu mafuta balaa
Ndio hivyoHuyu wamemuondoa tu kiana. Safi sana.