Ndio ni mwanae mwenyekiti wa hilo Baraza Jenerali nyota tank Mahamat Deny IntoJeshi ndio linaongoza nchi kupitia baraza la kijeshi katika kipindi hiki cha mpito cha miezi 18, otherwise useme mkuu wa baraza la lijeshi ni mwanae vinginevyo acha upotoshaji.
Kwa hiyo Mr Blue ndio anachukua nchi!?View attachment 1758299
Dunia inaenda kasi sana aisee.
Dogo Mahamat Deby(Miaka 37) aliyekua anaandaliwa kupewa urais sijui kama hao majenerali watampa.
Hahahaaa anaenda kuishi kama Hollywood sana huyu kijana maisha ya kutengenezewa haya.Kwa hiyo Mr Blue ndio anachukua nchi!?
Na hilo jina la Kaka ni lake alipewa na wazazi au ni utani tu, maana naona kuna sehemu wamemu address kama Mahamat Kaka!Ndio ni mwanae mwenyekiti wa hilo Baraza Jenerali nyota tank Mahamat Deny Into
Sio kama kwenu jesh limeshika atamu uchaguzi utaitishwa miezi 18 ijayo.Duh.
Hapo Makamu ndiyo ataapishwa au ni watarudia tu uchaguzi?
Anaye Mtoto wake ndiye anayeongoza Serikali ya KijeshiDuh.
Hapo Makamu ndiyo ataapishwa au ni watarudia tu uchaguzi?
Hapa unaona maana ya mawazo ya Nyerere na ManderaUnatangazwa mshindi halafu unakufa fasta. Hii kitu naona Mungu kaamua kumtuma malaika mtoa roho kuwasaidia Waafrika kwa mikono yake.
Huyu mwamba yeye hii ni awamu ya 6 na hataki kuondoka sasa Mungu kalala naye mbele. Kuna wakati msimtanie Mungu kuwa mnamtanguliza wakati mnawatesa wengine sasa anaamua kugawa dozi mwenyewe bila uwepo wa jeshi na polisi wenu.
kila nchi na katiba yake jombaa,usikaririYaani kafa halafu Military Council itaongoza Nchi na Mwanae ndio atakuwa kiongozi wa Nchi kwa muda wote, Bunge na Katiba vimesitishwa. Hapa kuna harufu ya mchezo mchafu,pengine kafariki natural death wakaona waseme kafia Vitani ili Mwanae achukue Nchi ili kuogopa Makamu wake asishike madaraka.
Avatar yako na comment yako vimeoana 100/100 ila huyu nadhani amenyukwa shaba na majedaHivi raisi anaenda uwanja wa vita kweli bila ulinzi mathubuti? Sio kamba hii kutoka kwa wajeshi?
umeona eeh, huu ni waka wa madikteta.Atakuwa alifunga goli na mkono. Sir God akasema "NO THANK YOU".