GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Ndio ni mwanae mwenyekiti wa hilo Baraza Jenerali nyota tank Mahamat Deny IntoJeshi ndio linaongoza nchi kupitia baraza la kijeshi katika kipindi hiki cha mpito cha miezi 18, otherwise useme mkuu wa baraza la lijeshi ni mwanae vinginevyo acha upotoshaji.