Chadema haina jeuri ya kukata hela! Wait and seeHeheheh hvi ipo chama gani cku hzi! Naona toka Matiko akufute rasmi kwenye ulimwengu wa siasa basi ww ni kupambana na CHADEMA tu.
Huko ACT nako vp ulikimbia ama umerudi NCCR? Anyway kwenye hiko kijarida hakuna mahali popote wamencofirm CHADEMA kupokea ruzuku zaidi ya kuproject kuwa ITAPATA...... Not IMEPOKEA!!
So till then hakuna hta senti 5 yenu iliyoguswa.... Maana haiwezekani wakubali pesa alafu wakatae wabunge 20 ambao wakichanga 15% ya mapato yao kila mwezi chama kingepata zaidi 40M kwa mwezi pamoja na platform ya kumwaga sera.
It's madness
Jisemee mwenyewe. Usimsemee Mbowe.Yani Mbowe arudishe hela? Unaota wewe!
Inaelekea walimhonga CAG mpaka akawapa hati safi baada ya kupitia hesabu zao.Mlichanga milioni 400 huku bilioni 8 zilizokusanywa chadema kwa miaka 5 zikiwa hazijulikani zilipo
Assets za Mbowe ni zaidi ya zote za ukoo wenu,baba yake ni hadithi nyingine. Kama ingekuwa umetoka Chatto kabla ya uhuru ungeijua Mbowe HotelsMbowe akatae hela? Labda awe hajazaliwa Kilimanjaro
Angalia jinga hii nayoNi part ya hela za kodi zao! Siyo za Magufuli
shetani atabaku shetani lakini lazima tuzini, akili za ufipa banaNa itabaki kuwa tu uchaguzi ulikuwa uchafuzi tu,, na pesa tunabeba
HAKI NA WAJIBU. Nazani wanapoendelea kudai haki yao ni wajibu wao pia kuendelea kupokea fedha maana ni zao kisheria.
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.
Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.
Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.
Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.
View attachment 1677814
Why refuse a free ride? The blamed are those dishing out.Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.
Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.
Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.
Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.
View attachment 1677814
Lissu au kura yako ambayo haikuhesabiwa? [emoji16][emoji16][emoji16]Lissu kaitia hasara Chadema ilikuwa inapokea ruzuku milioni 300 kwa mwezi kuja Lisu imekuwa milioni 100 kaitia Chadema hasara ya milioni 200 kila mwezi ina maana kwa miaka mitano Chadema itakuwa imepoteza bilioni 6.
Lisu Katia hasara ya bilioni sita kwa kugombea kwake.
Lissu ueleze hiyo hasara utaifidiaje halafu ulikimbia ukakitelekezea chama madeni umemwacha Mbowe kwenye wakati mgumu hadi kakonda hadi macho sio vizuri ulichofanya.
Labda wanazihesabu halafu halafu wakimaliza wazirudishe...Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.
Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.
Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.
Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.
View attachment 1677814
Sasa ina maana gani wasuse wabunge 20 ambao wangewapa political mileage bungeni alafu wakubali 100M isiyoweza hata kuservice makao makuu na kanda zake hta kwa mwezi mmoja.Chadema haina jeuri ya kukata hela! Wait and see
Reference ni Dr.Slaa ambaye aliweka sharti la kugombea urais ni kulipwa mshahara wake wa kibunge??Ukitaka kujua malengo halisi yaliyojificha ya akina Mbowe,msome Dk Slaaa.
Ameandika kuwa akina Mbowe lengo lao ni kupata luzuku ndiyo maana walimuweka Lowasa.Hata kumuweka Lisu ilikuwa kwa ajili hiyo hiyo.
Walijua hawatashinda.
Issue ipo katika COVID-19. Si wangezikataa maana ni pesa haramu?Ni part ya hela za kodi zao! Siyo za Magufuli
Hazijulikani kivp wakat financial statements zote zilikia audited na CAG na akatoa hati safi.Mlichanga milioni 400 huku bilioni 8 zilizokusanywa chadema kwa miaka 5 zikiwa hazijulikani zilipo