Dalili ya utawala unaokwenda kuporomoka!! Membe kaona mbali.Aisee! Mapolisi yamejigeuza kuwa Tume ya Uchaguzi? Utawala huu umesheheni WAHALIFU kila mahali, inasikitisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili ya utawala unaokwenda kuporomoka!! Membe kaona mbali.Aisee! Mapolisi yamejigeuza kuwa Tume ya Uchaguzi? Utawala huu umesheheni WAHALIFU kila mahali, inasikitisha sana.
Hii barua mbona haijasainiwa hata kama imekuwa "scanned"? Kabla hatujaanza kulishutumu Jeshi la Polisi ni vyema makada wa CDM kutoka Makao Makuu waliipo hapa jukwaani wakatueleza ukweli wa tuhuma hizi na uhalisia wa barua hii.
Kwani wagombea wenu ni siri!!
Sirro alisoma Seminari ipi
Mwaka huu utakuwa ni uchaguzi huru na haki.Mwisho wa kunukuu.
Hivi jeshi la Polisi Tanzania mbona linetawaliwa na ujinga wa hali ya juu hivyo?
Uliyemjibu alisema atajaza kurasa tano kujibu hilo swali, na nina uhakika mimi ningekuwa mwalimu wake hizo kurasa tano ningempa asilimia 20.Siasa siyo mchezo mchafu sema watu wanapofanya siasa ndiyo wachafu.
Na siasa ikijaa watu wachafu inakuwa haina lengo la kuleta mabadiliko yoyote kwa wananchi zaidi ya kuiba Mali za umma tu
Kwa nini hawajaomba ya CCM? Mipolisi ya TZ haijitambui, yalivyo na maisha magumu sasa! Hata hayaoni kwamba yanateseka kutokana na uongozi mbovu wa CCM. Pumbavu kabisa haya!simpeleke tu majina kwani watayafanya nini
Kama mimi nilivyokuwa natafuta kick kwenye matango ya nokho!Mnatafuta kiki.
Unatakiwa kwanza kujua vgezo vya kujiunga ktk jeshi hlo
Mnatafuta kiki.
Mnatafuta kiki.
Peleka majina ya familia yakosimpeleke tu majina kwani watayafanya nini