CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

Basi mtavuna kauli ya Lema. Cha muhimu jiandaeni kulia mmeibiwa kura
Hii point yako ndio wanayohitaji kuiona wengi walio madarakani, lengo kubwa ni kuleta sintofahamu then mtu akasirike ajikute anachagua mtu kwa kukasirika, baada ya uchaguzi, nyie mliotofautiana mnaanza kuongea lugha moja dhidi ya ya mliowachagua wenyewe, mtawajasdiri kwa miaka 4 kabla ya uchaguzi mwingine.
Wao hujitahidi sana kuwa wamoja wakati wa kuelekea uchaguzi ili kutuvuruga sisi. Sisi huwa hatuwezi kushikiria kero zinazotukabiri kwa miaka 4 ili zitusaidie kufanya maamuzi mazuri wakati wa uchaguzi.
Wapiga kura, hebu tukaeni chini tujitasmini huwa tunakwama wapi wakati muhimu wa kufanya maamuzi sahihi.
 
Mnamkana mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kaskazini? CHADEMA huwa haina hata semina ya kuwaelimisha wahuni kama Lema umuhimu wa kutoropoka hovyo? Chama hakina msemaji?
Mbona CCM ndio wanaoongoza kwa kila kiongozi kuropoka, SGR kila kiongozi kasema tarehe yake ya kuanza kufanya kazi! Sukari kila kiongozi ametoa sababu zake! Kukatika kwa umeme kila kiongozi ametoa sababu na mwisho wa kukatika umeme.
Tukubaliane CCM kupitia Nape walimtukana na kumkejeri Lowasa na wakatumia kifo chake kujisafisha.
 
Kwahiyo nyie ni CCM B?
 
Maamuzi ya kura wanayo CCM na dola, hatujapiga kura wao tayari wamekwisha panga idadi ya kura za ushindi, kura yako siyo haki yako.
 
usiwalaumu waislamu wengi elimu na dini ndio imewaweka upofu wa ufikiri.
Kwahiyo hadi leo bado umekaririshwa kuwa waislam hawajasoma...?
Chuki Chuki Chuki ni hatari kwa afya yako.

DINI TUMELETEWA, SIYO ZAKWETU NI ZA KWAO, WASITUCHONGANISHE. AMKA AMKA.
 
Unanuka udini mshenzi wewe pamoja na dada yako Fayza Foxy
 
Tangu lini wewe kenge ukawa muislam?
 
Wamepigwa gundi midomoni maana kama ni kisu nimeingia kwenye ini.
 
Usilam kwako ni special kuliko utaifa wako?Puuzi kabisa.Sukari,maji au umeme vinaangalia dini ya mtu?
 
Endelea kumuabudu huyo mropokwaji wenu, nyumbu jike wewe.
 
Kwenye sanduku la kura huwa hawana upofu. Dawa yenu inachemkwWa
Shule zinawashinda pumbavu nyie mnasoma shule za wakristo, kazi yenu kuchamba hovyo mnatusababishia uhaba wa maji....
 
Shule zinawashinda pumbavu nyie mnasoma shule za wakristo, kazi yenu kuchamba hovyo mnatusababishia uhaba wa maji....
Wewe mwanangu wa kambo kwanini unanitukana mimi baba yako? Hasira zangu atakutana nazo mama yako leo kitandani.
 
Shule zinawashinda pumbavu nyie mnasoma shule za wakristo, kazi yenu kuchamba hovyo mnatusababishia uhaba wa maji....

Lema anawaponza, na wenzake wenye elements za udini na ukabila wanawaponza.

This time mtaambulia SIFURI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…