Pre GE2025 CHADEMA kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 litakuwa ni pigo kubwa sana kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya CCM kidiplomasia na kiutawala

Pre GE2025 CHADEMA kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 litakuwa ni pigo kubwa sana kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya CCM kidiplomasia na kiutawala

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tanzania ina vyama Vya siasa zaidi ya 12 na vitashiriki uchaguzi sasa chama kimoja cha siasa ndo kinaathiri nini??

Msijipe umuhimu msiokua nao uchaguzi utafanyika na maisha yataendelea punguzeni utoto.
Tofautisha kati ya vyama na magenge ya machawa yanayofadhiliwa na yule msagaji
 
Hakuna hanayejipa umuhimu, ngoja uchaguzi ufanyike na CHADEMA wasishiriki, baada ya hapo taswira ya Tanzania kimataifa itakuwa na sura mpya na ngumu sana, vile vile hii itamtia doa hata Rais Samia.
CCM haiogopi tena hicho kinacho itwa kutiwa doa wamesha zoea
 
Hujitambui wala hujielewi umekurupuka kutoka usingizini kuja kuharisha hapa jukwaani , no reform no election maana yaka hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform sasa chadema wanaweza kuzuia uchaguzi wao kama nani? kuna vyama vingi sana hatuwezi kumsikiliza mpumbavu mmoja tu kuzuia uchaguzi wa nchi nzima klwa tamaa zake za kijinga tu wala asiposhiriki hakuna athari zozote kwani kipindi hiki ni kama hakushiriki tu umeona kuna athari gani nchi imeshindwa kufanya nini kwakukosa kwao kuwa bungeni maana walibanwa mbavu na jpm balaa wakawa wanatoa ulimi tu chadema ni genge la kihuni hakuna chama hao
Sidhani kama unajua athari alizoziacha mwenda zake ktk utawala wake ni msifu kwa kiasi fulani Mama samia kwa juhudi alizo fanya za kuifungua nchi ila tulikuwa tunaelekea kubaya sana hata zimbabwe kingekuwa cha mtoto sidhani kama Mama angependa turudi huko, hivi sasa Tanzania inaaminiwa kwa sababu ya alivyo fanya Mama samia, kama atakuwa amesahau hali ilivyokuwa, ashupaze shingo, nakwambia atakuwa na hali ngumu sana kwenye awamu yake. Mimi nimuombe Raisi asiwasikilize wachumia tumbo tu aangalie na mstakabali wa serikali yake. Asije akairudisha nchi nyuma, tunamwamini, tunampenda na bado tunamuitaji. Ata kwa unafiki tu awasikilize wapinzani la sivyo, mambo yataharibika sana na uchumi wetu kwavsasa umesimama pazuri, utaporomoka kama chaguzi zitakuwa za magumashi kama miaka mingine yote. Chondechonde Raisi wetu usizibe masikio na kusikiliza watu wapande mmoja tu utakaye kuja kupata shida ni wewe,.
 
Hujitambui wala hujielewi umekurupuka kutoka usingizini kuja kuharisha hapa jukwaani , no reform no election maana yaka hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna reform sasa chadema wanaweza kuzuia uchaguzi wao kama nani? kuna vyama vingi sana hatuwezi kumsikiliza mpumbavu mmoja tu kuzuia uchaguzi wa nchi nzima klwa tamaa zake za kijinga tu wala asiposhiriki hakuna athari zozote kwani kipindi hiki ni kama hakushiriki tu umeona kuna athari gani nchi imeshindwa kufanya nini kwakukosa kwao kuwa bungeni maana walibanwa mbavu na jpm balaa wakawa wanatoa ulimi tu chadema ni genge la kihuni hakuna chama hao
Watu mkiitwa wapumbaf mnasema mnatukanwa, hivi yaliyotokea 2019,2020 na mwaka jana 2024 unaweza kuita ni uchaguzi? Mwaka jana Rais alitamka mwenyewe kuwa uchaguzi huu wa serikali za mitaa 2024 mambo ya 2019 na 2020 hayatajirudia kamwe lakini yakawa vilevile.
Sasa jitu jinga linatoka huko na kusema eti "wana tamaa ya madaraka hao"!
Upuuzi mtupu, sasa Chadema wamesema NO REFORM NO ELECTION mnaogopa nini kufanya hizo reform?
Eti vipo vyama vingine 12! Sisi sio wajinga, vyama gani visivyo hata na mwenyekiti wa mtaa? Vina wakilisha wananchi wepi?
Wajinga ni watu wasio tumia hekima, kisha nchi zao zikija geuka Sudan au Congo wanalia lia eh Mungu tunusuru na wakati huo hawa wanao wasapoti washaiba rasilimali zenu na wanaishi Dubai na Honolulu.
Kweli wajinga ndio Waliwao
 
Tanzania ina vyama Vya siasa zaidi ya 12 na vitashiriki uchaguzi sasa chama kimoja cha siasa ndo kinaathiri nini??

Msijipe umuhimu msiokua nao uchaguzi utafanyika na maisha yataendelea punguzeni utoto.
unaijua CHADEMA wewe?
 
No reforms, no election ni mfupa mgumu sana kwa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa kitaifa October 2025.

Kama serikali ya CCM italazimisha kufanya uchaguzi pasipo ushiriki wa chama kikuu cha upinzani Tanzania yaani CHADEMA basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa Rais Samia Suluhu Hassan kidiplomasia hasa katika nyanja ya demokrasia kimataifa.

CHADEMA kutoshiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu pia litakuwa pigo kubwa sana kwa 4Rs za Rais Samia Suluhu Hassan kuelekea katika hadhima yake ya utawala bora.

Ikumbukwe kuwa bajeti ya serikali inategemea misaada kutoka katika mashirika, taasisi za kimataifa na nchi za nje.

Hivyo ikiwa CHADEMA hawatashiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu, litakuwa ni pigo kubwa sana kidiplomasia kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya CCM.

CHADEMA wanatakiwa kusimamia msimamo wao wa no reforms, no election bila kutetereka kabisa, maana bila CHADEMA, ushiriki wa vyama vingine una athari finyu kuelekea mageuzi ya kiutawala na siasa Tanzania.
Hakuna cha pigo wala, misitake kujipa umuhimu msiokua nao.
Msiposhiriki wengine watashiriki na kwa kua CCM itakua imeshafanya utafiti wake wa kujua itashinda kwa kiwango gani kura zilizokua ziende CHADOMO zitasambazwa kwa vyama vyengine vitakavyoshiriki.
Labda CHADOMO wajitoe siku hiyo hiyo ya uchanguzi ndio mnaweza kuwaendesha ovyo CCM.
 
Kwa nini ccm hawataki kusikia mabadiliko ila muda utaongea mabadiliko ya kimfumo yapo kiubeba ccm
Tuache kushupaza shingo ccm wenyewe wanamjua hili
 
No reforms, no election ni mfupa mgumu sana kwa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa kitaifa October 2025.

Kama serikali ya CCM italazimisha kufanya uchaguzi pasipo ushiriki wa chama kikuu cha upinzani Tanzania yaani CHADEMA basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa Rais Samia Suluhu Hassan kidiplomasia hasa katika nyanja ya demokrasia kimataifa.

CHADEMA kutoshiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu pia litakuwa pigo kubwa sana kwa 4Rs za Rais Samia Suluhu Hassan kuelekea katika hadhima yake ya utawala bora.

Ikumbukwe kuwa bajeti ya serikali inategemea misaada kutoka katika mashirika, taasisi za kimataifa na nchi za nje.

Hivyo ikiwa CHADEMA hawatashiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu, litakuwa ni pigo kubwa sana kidiplomasia kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya CCM.

CHADEMA wanatakiwa kusimamia msimamo wao wa no reforms, no election bila kutetereka kabisa, maana bila CHADEMA, ushiriki wa vyama vingine una athari finyu kuelekea mageuzi ya kiutawala na siasa Tanzania.
Sasa hapo pigo ni lipi? 😂😂
 
No reforms, no election ni mfupa mgumu sana kwa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa kitaifa October 2025.

Kama serikali ya CCM italazimisha kufanya uchaguzi pasipo ushiriki wa chama kikuu cha upinzani Tanzania yaani CHADEMA basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa Rais Samia Suluhu Hassan kidiplomasia hasa katika nyanja ya demokrasia kimataifa.

CHADEMA kutoshiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu pia litakuwa pigo kubwa sana kwa 4Rs za Rais Samia Suluhu Hassan kuelekea katika hadhima yake ya utawala bora.

Ikumbukwe kuwa bajeti ya serikali inategemea misaada kutoka katika mashirika, taasisi za kimataifa na nchi za nje.

Hivyo ikiwa CHADEMA hawatashiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu, litakuwa ni pigo kubwa sana kidiplomasia kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya CCM.

CHADEMA wanatakiwa kusimamia msimamo wao wa no reforms, no election bila kutetereka kabisa, maana bila CHADEMA, ushiriki wa vyama vingine una athari finyu kuelekea mageuzi ya kiutawala na siasa Tanzania.
Huyu Mama Kizimkazi ana kazi kubwa sana mwaka huu
 
Tanzania ina vyama Vya siasa zaidi ya 12 na vitashiriki uchaguzi sasa chama kimoja cha siasa ndo kinaathiri nini??

Msijipe umuhimu msiokua nao uchaguzi utafanyika na maisha yataendelea punguzeni utoto.
Tofauti na chadema vilivyobaki sio vyama vya Upinzani ni matawi ya CCM
 
Back
Top Bottom