Si kuna audited financial reports za chama ambazo msajili wa vyama zinamfikia? Kama zina mafekeche (qualified opinion) mfikisheni Mbowe kwa pilato akazitapike. Sio nmajazana kupiga kelele hapa JF ambazo haziwasaidii lolote.Sasa kama mnatumia pesa za walipa kodi kwa kujaza matumbo yenu,mnataka tusiseme?
Tulia Pccb wazifanyie kazi utapata majibu.Si kuna audited financial reports za chama ambazo msajili wa vyama zinamfikia? Kama zina mafekeche (qualified opinion) mfikisheni Mbowe kwa pilato akazitapike. Sio nmajazana kupiga kelele hapa JF ambazo haziwasaidii lolote.
Sema TUTULIE. Ingekuwa na wewe unapenda kutulia tungesubiri majibu ya takukuru badala ya kujaza thread humu JF.Tulia Pccb wazifanyie kazi utapata majibu.
Natumia haki ya kikatiba,kama unaumia moyoni kaa kimya.Sema TUTULIE. Ingekuwa na wewe unapenda kutulia tungesubiri majibu ya takukuru badala ya kujaza thread humu JF.
Niumie kwa lipi man? Bundle ni la kwangu na kifaa cha kwangu. Naona ume mind sana. Tuendelee na mjadala 🤣 🤣 🤣 🤣Natumia haki ya kikatiba,kama unaumia moyoni kaa kimya.
Bora wao wanatukana tuUstaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.
Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.
Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.
Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Real?Mtoa mada TATIZO lako "umeolewa uzeeni" ndiyo maana akili zinayumbal
Sijawahi kusikia neno lolote la tusi toka kwa Zitto lakini kila anapokosoa mnamvua uraia mitandaoni na kashfa za kutunga kutembea na wake za watuSiasa sio uadui wa kutengeneza vita.
Huwa napita tu. Simfuatilii kabisa.
Kwani ni kosa?Ndio undondocha huo...
Unatafuta nini kwenye hiyo acc yake unapopita? Hiyo ndio njia ya kuelekea lumumba, au nawewe ni mpwa unatafuta kuinuliwa?
HAWA NI TATIZO KWA CCMSiku hizi hata cuf haizungumziwi tena jf.ni chadema na Act pekee mbowe na Zito.
Eti inakubalika, mngeogopa hata watu kucheka suti ya XXXXXL ya dikteta uchwara?Ustaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.
Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.
Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.
Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Lile ni kosa la jinai kwa mujibu wa Cyber crimes Act ya Tanzania.Eti inakubalika, mngeogopa hata watu kucheka suti ya XXXXXL ya dikteta uchwara?
Hiyo ni haki yako ya kikatiba kutoa maoni yako. Lakini je hakuna wasiojulikana wanaotukana viongozi na wanatumiwa na Chadema?Umaarufu ili iweje acha hisia za kitoto.
Chadema wanahangaika masikini hawaamini km ruzuku mwisho july
Ila Mbowe mjanja sana baada ya kujua October hatapata mbunge hata mmoja ameamua alambe Bilion nane
K
Kwani ni kosa?
Naamua kucheka maana unashangaza watu. Kwa hiyo hayo matusi hayaoni humu Jf na mitandao kama twitter? Hapa Tanzania kuna dikteta uchawara? Kuna rais anayefanya extrajudicial killings? Mimi sina shida ya umaarugu kama unavyowaza. Mimi ni mkulima ila kwenye ukweli nitatumia haki yangu ya kikatiba kama ibara ya 18 ya katiba ya JMT inavyosema.Wanatukanwa wapi, ni mara ngapi hao viongozi unaoumia wakitukanwa, wanawaumiza watu wenye mitazamo tofauti na wao l, na wala huonyeshi kuumia? Ni unyanyasaji wa kiasi gani wanawafanyia hao cdm huku ww ukiona ni sawa? Au hao viongozi wanaowanyanyasa cdm ww huwajui, ila unawajua tu wanaowatukana hao viongozi? Ukionyesha kuumia viongozi kutukanwa, unatakiwa uonyeshe kuumia pia viongozi hao wakileta unyanyasaji kwa wengine. Huu umaarufu wa kijinga uanaousaka kwa mgongo wa cdm haukutoi dogo.
Mil 360 ila kuna deni hewa analipwa Mbowe mil 90 kila mwezi. Muulize Mh Waiyara anajua mengi.Ruzuku yenyewe ya 250m