Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Diaspora wawap awo mana me nipo England sjaskia iyo kitu na tuna umoja ambao hua tuna share info zote kupitia uongozi wetu na kama juzi tumekubaliana tuje home kwenye kuapishwa mh na mm kesho nasafiri kuja uko

Wacha kudanganya kijana kakojowe ukalale tuko kwenye harakati za ukombozi hapa
 

Mbona unajijibu mwenyewe mlamu, hizi ni dalili za awali za kuchanganyikiwa.
 
Picha kwani unatafuta mume?
Mmekosa la kusema nyie πŸ˜‚πŸ˜‚
Umeambiwa tuma picha wewe unaanza mambo yenu aliyowafundisha lissu Tz hatuna mambo hayo labda nyie na mme wenu Lissu πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mmekosa la kusema nyie πŸ˜‚πŸ˜‚
Umeambiwa tuma picha wewe unaanza mambo yenu aliyowafundisha lissu Tz hatuna mambo hayo labda nyie na mme wenu Lissu πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwani yule Lugola si mwalimu wako vile?
 
Eti mwanamume anamuambia mwanamume mwenzake nitumie picha yako ,si hatari hii? Au wewe ni mfuasi wa Nabii wako Tito?
Keyboard warriors 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Keyboard warriors 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Lete address yako vijana wakushughulikie usilete ushoga kwenye harakati
 
Hata ujinga mwingine bwana.....yaani niache kufanya kazi zangu nikamsuppot Zitto na wenzake? Hawa wapuuzi wataishia hiv hivi kila uchaguzi na mwishowe wananchi tutaanza kuwasaka mitaani na kuwatungua mawe maana tunaanza kuwachoka sasa. Mdee naye alikuwa hivi hivi, yeye alikuwa kinara wa kupinga kila kitu bungeni na kufanya fujo ili akamatwe na kuandikwa magazetini na mtandaoni huku akisahau majukumu ya jimboni kwake. Muulize nini kilichomkuta.
 
Wangejitahidi kuwahi mapema maana kuna tatizo la upatikanaji maji ya kuwashaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
MAMA MKANYE MWANAO.
Natamani kuona familia ya Lissu Mbowe Kabwe Maalimusefu, kesgo wakiongoza maandamano.

Wananchi mkiona tu familia zao hazipo mjue mnatumika acheni upuuzi huo
Familia zao zitafichw. Wengine washakata tucket kurudi ulaya.
Hakuna kitu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…