Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Naomba nyie viongozi wa ACT-CHADEMA mje na wake zenu, watoto wenu, ndugu zenu wengine pamoja na michepuko yenu pendwa...
 
tutaandamana mpaka tume huru ipatikane kwa faida ya wote.
 
Kwa vizazi vijavyo huu ni wakati wa kuwatengenezea njia. Maisha ni mafupi ,dunia ni mtihani tu . Kila mtu atakufa . Starehe zina mwisho.
Future kwa vizazi vijavyo


Sawa mkuu, Nyie andamaneni...
 
Yani nyie ndio makichaa kabisa em tulia uvae barakoa uko, mnatuhamasisha tuvuruge amani huku kwasababu hamtakuwepo hapa eeh, endelea kuota..
 
Humu JF ni mitandao mingine ya kijamii, kaulimbiu ya wafuasi wenu ilikuwa "Lissu kaza kwa spana", kinyume chake ni ninyi. Sasa hayo maandamano yatakuwa yenu viongozi na familia zenu, labda mwalipe vibaka wa kuwasindikiza. Hao pia wakiona Jeshi la Polisi watayeyuka kama barafu kwenye joto.

Kila la kheri na hayo maandamano
 
Nyie wenzangu na mimi msifuate mkumbo kuweni makini mtakuja kutolewa sadaka.

Angalia Ugali wako na familia yako.

Hakuna chama chochote ulimwenguni popote kitakachokuletea Ugali nyumbani kwako.

Hakuna Rais yoyote atakaekuletea Ugali nyumbani kwako.

Msifikiri mtawekewa mabomba majumbani mwenu, ukifungua bomba la Maji yanatoka Maziwa freshi.

Hao wanaotaka kukutumieni hawatoonekana.

Hao wanaotaka kukutumieni, usishangae baada ya miezi michache wamerudi/wamejiunga chama tawala.

Akili za kuambiwa changanya na zako
 
. Naomba kesho ufe kweli usipokufa wewe Ni mnafiki au jitoe hadharani uuelezee umma ulivoona kura ikiibiwa mbele ya macho yako
 
The guilty are afraid. Wezi wanaogopa maandamano. Wameleta watu wao wa propaganda hapa JF. Wapenda haki wote twende tukawaonyeshe kuwa dhuluma iliyofanyika 28 Okt haikubaliki. CCM jifungieni katika vyumba vyenu. Hamlazimishwi kuandamana.
Mkuu utaanzia pale buguruni au ubungo?
 
Mambosasa ameleta mtu feki studio kusema kuwa amepangwa kuchoma petrol stations hapa jijini DSM.

Hatutishiki. Tutaandamana tu
 
japo nipo siku zote , uchaguzi huu ulikuwa tayari na matokeo dunia yote inajua na mimi ninao ushahidi , kwahiyo hakuna haja ya kupeana pole
. Ile unajamba mwenyewe afu unaziba pua 🤣🤣🤣
 
Hii matando mbona haifungwi vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…