Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafurahi kusikia ushahidi upo, na ni matumaini yangu makubwa kwamba utatumika barabara wakati utakapohitajika.japo nipo siku zote , uchaguzi huu ulikuwa tayari na matokeo dunia yote inajua na mimi ninao ushahidi
Mchawi tu wewe, hayo manukta na makoma yasiyo na mpangilio peleka kwa wapuuzi wenzio wa LumumbaSafi sana, bado hasira za kushindwa vibaya zipo lkn kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo zinavyozidi kupungua, hata matusi yanazidi kupungua siyo kama siku kwanza hapa JF, rhetoric zimebadilika kuelekea kukubali hali kama ilivyo, time heals all wounds wanasema Wazungu, hivyo wataandamana kesho, kesho kutwa ikifika Ijumaa wamechoka, mwishowe watakubaliana na hali na maisha kurudia kawaida, ...
Kipara na Samia watakuwepoKabwe, Mbowe na Lissu watakuwepo?
Wewe utakuwa home unakuna naziTukana utakavyoweza ila SIANDAMANIII....
Wewe utakuwa home unakuna nazi
Victorie mama huwa sikuelewi kabisa unasimama upande gani? Ila kwa hili la maandamano tuko pamoja hawa viongozi baada ya kuona hawatopata posho za bunge wanadai haki, binafsi ningependa kesho wawe pamoja na watoto na wake zao barabarani tofouti na hapo waache sinema za ajabu kwa watanzania...Acheni unafki. Walivyoangushwa wenzenu wasio na majina Seikali za mitaa,hamkuitisha maandamano. Leo mibuyu imekatwa ndo mnataka maandamano just because mmeguswa.
Acheni Tamaa. Sasa tulieni muungane mfanye siasa za kweli na si za maslahi yenu binafsi.
Kwani nani kakwambia uandamane Chika ?SIANDAMANIII km ulitarajia niwe mtaji kwenye maandamano yako kesho imekula kwako. SIANDAMANIII........
Hahahhaha mkuu upo?Zitto na mdogo wake zitto junior watakuwepo?
Mkuu we utaanzia pale buguruni au ubungo?
Ni upuuzi kushabikia raia wasio na hatia wakipigwa kisa kudai haki zao.Ongera kwa kutoa ratiba
Wale jamaa waliomkanyaga Jussa kule Zanzibar kesho watakuwepo ubungo na buguruni
hatutaki mtu akimbie
Makamanda mnatakiwa mkomae hata ukila buti la shingo komaa hivyo hivyo ili ufe shahidi
Tayari vijana wa Asterdam watakuwepo katika hayo maandamano watabeba makamera makubwa ili picha za mnato na za video zichukuliwe kama ushahidi
Kule Zanzibar kipondo walikipata mbaka viongozi wale vihere here tunasubiri na hapa tuone
Mm nitakuwepo youtube nikishuhudia hayo maandamano makubwa kuwai kutokea africa