Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Nyerere angekuwa na mawazo duni haya Tanzania ingepata uhuru kweli. Jifungie ndani. Tutafanyakazi sis. Usikatishe watu tamaa.
Mimi siyo mtumwa, Uhuru gani unaousema wewe!

Watu kama wewe ndio Kunguru wenyewe.

Hapa mnaleta mashauzi kwamba mtaandamana, lakini huwezi kuthubutu
 
Maandamano ni NCHI NZIMA!

You just got this whole thing wrong!

Eti DAR....fvck you all....it is the whole country!

Deal with it you motherfvckers!

#Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana
Screenshot_20201101-211726~2.png
Maandamano yenyewe...😂😂
 
Swali la kijinga sana hili. Umelirudiarudia siku nzima. Hivi hauna kingine cha kuuliza? Mamko angeweza kumzuia dikteta mwenye vifaru na mabunduki hayo? Muulize hapo mamko kama angeweza kuzuia uchaguzi uliotayarishwa na dikteta ambaye ana jeshi, TISS, polisi, NEC, Masajili, TCRA, Mamlaka ya Anga... Jibu atakalokupa mamko ndilo jibu hilo.
Kama unajua huwez kuizuia kwann unajisumbua kesho kuingia bara baran ukijua mtu Ana hizo weapon zote ulizo orodhesha hapo juu??

Kwaiyo lengo ni kujaribu?

Au kwa Sasa izo siraha na tahasisi hazito weza kufanya kazi??

Maamuzi ya kufanya mambo kwa hasira mala nyingi huwa na matokeo mabaya sana
 
CHADEMA na ACT—Wazalendo tunautangazia umma na wanaopinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu kushiriki Maandamano ya Amani kesho Jumatatu ya Tarehe 2/11/20. Madhumuni ya Maandamano ni kudai kurudiwa Uchaguzi Mkuu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Maandamano yataanzia sehemu 2, kundi moja litaanzia Buguruni Sheli kuchukua barabara ya Uhuru mpaka Kariakoo, Msimbazi Road mpaka fire, Morogoro road, Bibi Titi mpaka Ofisi za Tume

Kundi lingine litaanza Ubungo Bus Terminal kuchukua Morogoro road mpaka fire kisha Bibi Titi kuelekea Ofisi ya Tume.

Wajumbe wa Kamati Kuu mnaopenda kushiriki maandamano tafadhali mtachagua kati ya maeneo hayo. Maandamano yanaanza saa mbili kamili asubuhi kuelekea Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Ukumbi wa Mwalimu JK Nyerere Conference Center. Viongozi Wakuu wataongoza Maandamano hayo.


Ndugu Zitto Kabwe,

Ndugu yangu, posho za ubunge ufaidi na familia yako, baada ya kukosa uniingize mimi barabarani nikale mkong'oto wa Polisi . Chukua familia yako itangulize mbele. Mimi najua uchaguzi umeisha kifuatacho ni kuchapa kazi.
 
Ukimtoa Mungu na wazazi wangu waliobaki wote hakuna hata mmoja wa kunishurutisha anachotaka yeye nikifanye kwa faida yake hata siku moja.
Hivyo Basi niwaombee Hawa watu wanao sadikika ni wanasiasa Kama wameshindwa kuamlisha Watoto wao wafuate wanachokitaka wao Basi wasitegemee chochote kutoka Kwangu Wala familia yangu Wala Rafiki zangu Wala ndugu zangu.

Kesho tuamuke tuchape kazi.
 
Kwa jinsi maisha yalivyomatamu afu mtu anaandamana kwaajili ya ujinga 😜🙉 bc
 
Ndugu yangu posho za ubunge ufaidi na familia yako, baada ya kukosa uniingize mimi barabarani nikale mkong'oto wa Polisi . Chukua familia yako itangulize mbele. Mimi najua uchaguzi umeisha kifuatacho ni kuchapa kazi.
UMEPIGA MULE MULE
 
Victorie mama huwa sikuelewi kabisa unasimama upande gani? Ila kwa hili la maandamano tuko pamoja hawa viongozi baada ya kuona hawatopata posho za bunge wanadai haki, binafsi ningependa kesho wawe pamoja na watoto na wake zao barabarani tofouti na hapo waache sinema za ajabu kwa watanzania...

Jana mchana nimekutana na viongozi hawa maeneo ya Rose Garden, sugu a.k.a jongwe kachoka naona haamini kama hatokalia kiti chekundu
Mimi huwa sina upande kabisa. Sema maoni yangu yanajikuta yanasimama na upande mmoja. Mimi huwa nasimama na Tanzania .
 
The guilty are always afraid. Maandamano yameruhusiwa katika katiba yetu. Msi-panic. Kazi yenu ni kuua. Tayarisheni silaha tu.
Ndio Lakin maandamano yana utaratibu wake ndugu,
Ni razima uwe na kibari kwa ajili ya maandamano hayo...
Pia lazima uwe na sababu ya kufanya hayo maandamano na lazima pilisi wawe pamojananyi

Mtakapo andamana mta kwa maisha mambo mengi tuu kwa kujazana bara barani. Iyo ni hasara kwa sisi tusio na mpango WA maandamano

Kwaiyo hayo ni maandamano ya Shari sio Aman
 
Mkuu ingia barabarani kesho. Kwangu mimi maandamano ni kupotezeana muda tu. Wacha tukatafute riziki za kula familia zetu..
Acha mboga 7 wakaandamane[emoji23]
tuliobaki mtaji wa masikini ni nguvu zetu wenyewe
 
Nafurahi kusikia ushahidi upo, na ni matumaini yangu makubwa kwamba utatumika barabara wakati utakapohitajika.
Kuhusu hili la "... uchaguzi huu ulikuwa tayari na matokeo...", swali ni kwa nini mliruhusu uchafuzi huo uendelee huku mkiwa mnajua ulikuwa umeandaliwa?

Huoni kwamba fursa nzuri ilikuwa ni kuuzuia uchafuzi huo mara moja huko huko kwenye vituo vya kupigia kura? Ingekuwa rahisi zaidi na salama zaidi kama zoezi zima la kupiga kura lingesitishwa wakati mawakala wenu wanazuiwa kufanya kazi mliyowatuma waifanye.

Na hata hiyo mikoba ya kura zilizoingizwa, hapo hapo ndipo zingeonyeshwa kwa wananchi nchi nzima.

Kwa nini mlikubali uchaguzi uendelee? Hilo ndilo swali.
Yajayo yanafurahisha , wakati wa kufunga kampeni Kawe , watu wao walituletea taarifa katikati ya mkutano kwamba Tume imemuandalia Magufuli kura mil 12 , na haraka Lissu akauhabarisha umma , si umeona kura alizopata Magufuli ?
 
The guilty are afraid. Kama unaona ni vitisho, kauka tu. Mbona unakosa usingizi? Majizi wakubwa.
Povu linakutoka.

Nawatahadharisha ndugu zangu ukiwemo na wewe mwenyewe ambae najua huna jeuri hiyo ya kujiunga na maandamano, wasikubali kushikwa masikio na wenye uchu wa madaraka.

Hao watu wanawatumieni, wanataka kuwafanya chambo
 
Hahahhaha mkuu upo?
Naona mnachekelea baada ya kubaka uchaguzi.
Kma ulisoma law of diminishing returns then inapaswa uunge mkono maandamano ya kesho maana ndio yameshikilia hatma ya siasa zetu kwa miaka 20 ijayo.
Hahahah ulipanga uendelee kula mamilioni ya posho kwa miaka 20 ijayo??!! Pole sana, karibu mtaani tusake life
 
Ni upuuzi kushabikia raia wasio na hatia wakipigwa kisa kudai haki zao.

Mbona Lissu alipotua Dar watu walifanya maandamano ya amani na hakuna vurugu ilitokea? Kwani mkiacha waandamanaji wakusanyike kwa amani mnakosa nini?

Hili bara kweli lina laana
Basi Hamia bara lingine, tuache na bara letu Afrika, tuache na Tanzania yetu yenye baraka ya amani..
 
Back
Top Bottom