Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Hakuna cha propaganda tunawasikia wanavyoongea mitaani.Kiswahili na manenoo ya kifaransa


Jane dume zima linaomba picha ya wanaume wenzake eti linaandika bwana nitumie picha yako basi
Oya Dogo leta Tundu tumesubiri tangu saa mbili asubuhi ujue leta tundu fasta😂
 
Nichukue nafasi hii kusema kwamba kuandamana ni upungufu wa akili kwani huwezi wewe mtu ukatete ugali wa mtu bila kujiangalia mwenyewe.
Elimu ya Lumumba hiyo ?? sasa mnaogopa kitu gani hata mjilete hapa
 
Jane dume zima linaomba picha ya wanaume wenzake eti linaandika bwana nitumie picha yako basi
Halafu we dogo usije ukawa robot
Unaweza kuta nachati na robot hapa
Ila Tundu si alisema karuhusu Tundu liletwe hapa 😂
 
Elimu ya Lumumba hiyo ?? sasa mnaogopa kitu gani hata mjilete hapa
Hatuogopi Kwani ni wajibu wetu kuwaeleza watanzania wasije kushawishiwa na wanasiasa wanaotaka kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya matumbo yao
 

Attachments

  • IMG-20201102-WA0000.jpg
    IMG-20201102-WA0000.jpg
    79.4 KB · Views: 1
CHADEMA na ACT Wazalendo tunautangazia umma na wanaopinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu kushiriki Maandamano ya Amani kesho Jumatatu ya Tarehe 2/11/20. Madhumuni ya Maandamano ni kudai kurudiwa Uchaguzi Mkuu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Maandamano yataanzia sehemu 2, kundi moja litaanzia Buguruni Sheli kuchukua barabara ya Uhuru mpaka Kariakoo, Msimbazi Road mpaka fire, Morogoro road, Bibi Titi mpaka Ofisi za Tume.

Kundi lingine litaanza Ubungo Bus Terminal kuchukua Morogoro road mpaka fire kisha Bibi Titi kuelekea Ofisi ya Tume.

Wajumbe wa Kamati Kuu mnaopenda kushiriki maandamano tafadhali mtachagua kati ya maeneo hayo. Maandamano yanaanza saa mbili kamili asubuhi kuelekea Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Ukumbi wa Mwalimu JK Nyerere Conference Center. Viongozi Wakuu wataongoza Maandamano hayo.


Mnapotosha umma.
 
Mimi ninavyojua Wanajeshi wa Tanzania ni watanzania, sasa hiyo yako ya Waburundi naishangaa ndio maana nakwambia uthibitishe hapa


Sisi tulioko Zanzibar na Pemba tunajua hawa ni wahutu kwa lugha yao . Pia vitendo vyao vya kupita majumbani na kuvunja milango na kuiba
 
CHADEMA na ACT Wazalendo tunautangazia umma na wanaopinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu kushiriki Maandamano ya Amani kesho Jumatatu ya Tarehe 2/11/20. Madhumuni ya Maandamano ni kudai kurudiwa Uchaguzi Mkuu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Maandamano yataanzia sehemu 2, kundi moja litaanzia Buguruni Sheli kuchukua barabara ya Uhuru mpaka Kariakoo, Msimbazi Road mpaka fire, Morogoro road, Bibi Titi mpaka Ofisi za Tume.

Kundi lingine litaanza Ubungo Bus Terminal kuchukua Morogoro road mpaka fire kisha Bibi Titi kuelekea Ofisi ya Tume.

Wajumbe wa Kamati Kuu mnaopenda kushiriki maandamano tafadhali mtachagua kati ya maeneo hayo. Maandamano yanaanza saa mbili kamili asubuhi kuelekea Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Ukumbi wa Mwalimu JK Nyerere Conference Center. Viongozi Wakuu wataongoza Maandamano hayo.

Yaani hata hamkufuata taratibu za kisheria mnataka kuandamana mnaakili.Kweli?? acheni akili za ajabu,mbona mmesoma na mnaakili timamu kabisa,inakuaje mnakosa kujiongoa ninyi na akili zenu,mnafikiri maisha ya hao wananchi mnaowashinikiza hatima ya maisha yao mnaijua??

Fanyeni jambo la maana,niseme jambo asiekubali kushindwa si mshindani mmeshindwa kwa haki.Mnaleta porojo zenu
 
Back
Top Bottom