Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Ukiona hivyo ujue kuwa huyo dikteta uchwara keshazidiwa katika kila idara na huyo shujaa Tundu LissuHivi hata kutembelea wanachama wake haruhusiwi? Daah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo ujue kuwa huyo dikteta uchwara keshazidiwa katika kila idara na huyo shujaa Tundu LissuHivi hata kutembelea wanachama wake haruhusiwi? Daah!
Ushindi unakaribiaUkiona hilo Jeshi la Polisi linatumia nguvu hivyo kumdhibiti huyo Tundu Lissu, ujue hao watawala wa CCM weshaona maji yako shingoni!
Hilo Jeshi la Polisi, kwa kujua au kutojua, wanampaisha mno huyo Tundu Lissu.......
Ukombozi kamili tayari ushakaribia mno.......
Tarehe 28/10/2020 twende tukamalize kazi..........
Watanzania wana jambo lao kwenye sanduku la kura
Waziri mkuu anafanya nini huko kibaha?Kibaha yuko waziri mkuu sasa huyo Mwalimu anaenda kufanya nini?!
Wazee wa madaraja na midege kwa kweli mmefilisika. Kwani si mmemzuia kufanya kampeni au kuna mazuio mengine?Ameshapata media attention
Ameshapigwa picha
Sasa asubiri kipigo
AMENUshindi unakaribia
Mwambieni ajifunze kutii sheria bila shuruti. Nothing less nothing more.Umefanya fujo barabarani?
Tumemtuma sisi wafanyakazi, sisi wafanyabiashara tuliofilisiwa, wakulima wa ufuta, mbaazi na korosho, sisi tunaokatwa 15% HESLB n.k
Mzito kuelewa ni yule anayetoa rushwa ya uchaguzi hadharani
Nimeunga mkono hojaPiga pin tu mzee baba.
Jamani jamani Magufuli kaumiza watu. Haisemeki kiwango cha maumivu kilichopitiwa. Kaumiza watu jamani jamani jamani. Hivi ni kuwa watu hawaelewi au wamelipwa waje kumfanyia kampeni?Umefanya fujo barabarani?
Tumemtuma sisi wafanyakazi, sisi wafanyabiashara tuliofilisiwa, wakulima wa ufuta, mbaazi na korosho, sisi tunaokatwa 15% HESLB n.k
Mzito kuelewa ni yule anayetoa rushwa ya uchaguzi hadharani
Si ndio,,[emoji1787][emoji1787],alale kwake mpaka adhabu iishe...Hata kutembea napo ni kosa