Wanamwogopa Lissu kama ukoma. Wanajua kitendo cha Lissu kuonekana tu Outdors kwa Sifa yake ni kampeni hata kama hajasema chochote.Amekwambia anakwenda kwenye kampeni? Au kila mnapomuona mnachachawa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamwogopa Lissu kama ukoma. Wanajua kitendo cha Lissu kuonekana tu Outdors kwa Sifa yake ni kampeni hata kama hajasema chochote.Amekwambia anakwenda kwenye kampeni? Au kila mnapomuona mnachachawa tu.
Wacha upuuzi,kwani umesikia amewekwa kizuizini kuwa asitoke nyumbani kwake? Au na wewe akili zako ziko kama yule Mzee wa kuvaibreti na kujinyea?Huyu si kapewa adhabu asifanye kampeni. Hivi huyu mbona mzito sana kuelewa huyu? Anataka nn huyu? Ametumwa na nani huyu? Kwanini anafanya fujo lakini huyu?
Swali muhimu sana, Waziri Mkuu huku anagombea ubunge, halafu kuna vichwa vigumu huko ccm havielewi nini maana ya uhitaji wa katiba mpya [emoji4]Waziri mkuu anafanya nini huko kibaha?
Jamaa walidhani anaenda kukutana na Amsterdam.kiki tayari aite waandishi wa habari aseme aliyotaka kusema asisahau kufafanua whitepaper
Lissu kila anachofanya ni kampeni ndio maana magufuli mwoga sana. Na sasa kampeni tena imefufuka kwa kumtumia Lundo la wanajeshi. Hizo footage zinaendelea kuwa ushahidi kwa taifa na mataifa.Ameshapata media attention
Ameshapigwa picha
Sasa asubiri kipigo
Nchi imefika patamu sana !Ushindi unakaribia
JAMANI MUNIOMBEEkiki tayari aite waandishi wa habari aseme aliyotaka kusema asisahau kufafanua whitepaper
Ina maana alipotoka hamna kitimoto? Acheni sababu za uongo nyie magwanda. Huyo mgombea wenu lazima ajifunze kutii mamlaka; otherwise, tutamnyoosha hadi ashike adabu.kwahiyo umambiw aKiluvya kuna kampeni?
Ukiambiw ananeda kula KITI MOTO kiluvya utasema nini?
akisema anend akwenye msiba Kiluvya utasema je?
Ukiambgiw anaenda kuonga Mgonjwa kiluvya utasemaje?
Mungu Oyee.Nchi imefika patamu sana !
Kapige Kura yako, na Naamini pia baada 28 October, utatudi hapa ukilialia kuonyesha jinsi alivyonyolewa huyo unayemsema atakuwa RaisLissu lazima awe Rais wa nchi hii