indian mark 2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 397
- 301
Wamepiga mbomu ya mochozi hatimae wameamua kuondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Lisu alikuwa anaenda kufanya nini sasa? Ana bidhaa anauza pale?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa hiyo mnaenda wapi sasa?
Mkuu kwa hadhi ya Lisu sokoni alikuwa anaenda kufanya nini? Alitumwa kununua nyanya ama kitu gani?Kila anayeenda sokoni ana bidhaa anazouza? Mkuu sioni kama una jipya kwenye huu mjadala. Naona ni upuuzi tu tunajadili hapa wa mtu kwenda au kutokwenda sokoni. Iko siku ataenda uwanjani kuangalia mpira utasema kuwa anaenda kuangalia mpira kwani ni mchezaji?
Kukagua ufisadi wizi wakoMkuu kwa hadhi ya Lisu sokoni alikuwa anaenda kufanya nini? Alitumwa kununua nyanya ama kitu gani?
Kukagua yeye kama nani?Kukagua ufisadi wizi wako
Sasa hapo kavurugaje amani wakati anapita zake, wanaotaka kuvuruga amani ni hao polisi, kufanya mambo pasipo sababu ya msingi.Lissu anapambana kwakila hali ili avuruge amani kisha yeye akimbiliezake ubelgiji akatulie zake.
Wamepiga mbomu ya mochozi hatimae wameamua kuondoka
Kazi mojawapo ya polisi ni kuzuia uhalifu usitokee ndio maana huwa wanafanya patrol Kazi yao sio tu ya kukamata wahalifu kuwa wasubiri jambazi avamie duka kwanza ili wamkamate with evedence!!!
Prevention is better than cure
Hongera Polisi kwa kazi nzuri ya kuwawahi kuzuia agenda yao mbaya kwa nchi ambayo walitaka kwenda kufanya kwa siri kwenye kikao chao cha ndani cha siri chenye agenda za kigaidi za kuvuruga uchaguzi mkuu
Inaanza wakati ashaondokaKazi ndo kwanza inaanzaView attachment 1592379
Inaruhusiwa kuota mchana.Lissu lazima awe Rais wa nchi hii
Mkuu kwa hadhi ya Lisu sokoni alikuwa anaenda kufanya nini? Alitumwa kununua nyanya ama kitu gani?
Ya kampeni haihitajiki sababu tume ilishatoa ratiba na copy kupewa Polisi ya kawaida lazima upate kibali cha polisi ili wawepo kulinda usalama wa raia na Mali zao.Nani kakuambia mikutano ya siasa inahitaji kibali cha policcm?
Twambie basi akikuwa anaenda hapo sokoni kufanya nini?Kwako wewe kwenda sokoni ni mpaka uwe huna hadhi? Mkuu kwangu kujadili jambo dogo hivi ni kuishiwa hoja.
Ya kampeni haihitajiki sababu tume ilishayoa ratiba na copy kupewa Polisi ya kawaida lazima upate kibali cha polisi ili wawepo kulinda usalama wa raia na Mali zao