Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Kama hajakukuta mshukuru mungu kwabahati mbaya nimeviacha vifaa mwambao waziwa tanganyika mm nipo kgm mjini kwasasa nikupe stori fupi walipo kuja haotokomeza uvuvi hrm walifika kwetu walituomba tuwaonyeshe nyavu iliwazipime kama zipo sahihi sisi tulitekeleza tukawaonyesha kilicho fata zipo sawa toeni hela kama hamna pesa tunazichoma kweli walizichoma nawakateka mashine zaboati tulizo kuwa tunatumia kama usafiri mpaka sasa wanazo wanatuambia tukazinunue kwao engeine zetu hatudanganyi huu niukweli mtupu wavuvi wangi tumejaa uwoga hatujui kesho yetu
Hapana sio kweli, weka jina la hiyo ofisi hapa tukathibitishe wenyewe wadau kama wewe unaogopa kutuletea ushahidi.
 
Ngoja nikutoe tongotongo hapa kuhusu matumizi ya uwanja wa Chato. Chato airport its a strategic hydrome airport, yaani msaidizi wa kiwanja cha kimataifa cha ndege cha Mwanza, popote kunapokuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa ni muhimu kuwe na kiwanja cha kimkakati pembezoni mwa kiwanja hicho, ili kusaidia majambo mbalimbali yahusuyo usafiri huo wa anga...
Hamna kitu hapo. Ni upigani wa magu tu.
 
Aiseeeh propaganda mnazijua kwakweli [emoji2][emoji2]
Binafs mimi hapa naapa kwajina lamungu kazi yangu kilimo na uvuvi nimuathirika wa uvuvi nimekatwa miguu hakika mungu ananiona angalau lisu kasema anatulipa wavuvi . Bomoabomoa.

Vyeti feki. Kupandisha mishahara namadaraja kwawatumishi uhuru namaendeleo ya watu.

Nafikiri tuungane tumpe huyo japo namm ni ccm mwenzako
 
Mbona unapiga rungu hoja yangu, lete hoja yako na wewe kwa nini hamna kitu?
Ukhoji tu hupewi majibu unatumiwa Takukuru, uhamiaji na wasiojulikana. Mbona giza nene kwenye hiyo miradi?? Infact ni miradi ya magufuli sio ya ccm wala taifa la tanzania
 
Hapana sio kweli, weka jina la hiyo ofisi hapa tukathibitishe wenyewe wadau kama wewe unaogopa kutuletea ushahidi.
Hutafuti ofice unanitafuta mm tembelea mwambao waziwa tanganyika na mpaka sasa store ipo ikola mkoa wakatavi
 
Ukhoji tu hupewi majibu unatumiwa Takukuru, uhamiaji na wasiojulikana. Mbona giza nene kwenye hiyo miradi?? Infact ni miradi ya magufuli sio ya ccm wala taifa la tanzania
Mimi si nimekupa ufafanuzi hapo, au unataka ufafanuzi wa jambo gani tena, wewe si umeulizia kuhusu uwanja wa ndege wa chato?
 
Chadema itapanda mbele pale Lissu atachukua uenyekiti wa chama na Robert Amsterdam apewe mwanasheria wa chama na mshauri wa mambo ya nje.....hapo Miccm itajinyea
 
Kama hajakukuta mshukuru mungu kwabahati mbaya nimeviacha vifaa mwambao waziwa tanganyika mm nipo kgm mjini kwasasa nikupe stori fupi walipo kuja haotokomeza uvuvi hrm walifika kwetu walituomba tuwaonyeshe nyavu iliwazipime kama zipo sahihi sisi tulitekeleza tukawaonyesha kilicho fata zipo sawa toeni hela kama hamna pesa tunazichoma kweli walizichoma nawakateka mashine zaboati tulizo kuwa tunatumia kama usafiri mpaka sasa wanazo wanatuambia tukazinunue kwao engeine zetu hatudanganyi huu niukweli mtupu wavuvi wangi tumejaa uwoga hatujui kesho yetu


Sasa mkuu kama unachokisema hapa ni kweli,jaribuni kutafuta namna ya kupata haki yenu kwa vyombo husika/mamlaka za juu,


Ujinga huo unafanywa na baadhi ya watendaji kwa tamaa zao binafsi na si kwamba wanafanya hivyo kwa mujibu wa sheria,


Fuatilieni bila kuchoka mtapata tu haki yenu na hao jamaa watachukuliwa hatua
 
Chadema itapanda mbele pale Lissu atachukua uenyekiti wa chama na Robert Amsterdam apewe mwanasheria wa chama na mshauri wa mambo ya nje.....hapo Miccm itajinyea
Mmh! Acha uccm wako hapa. Mbowe ni credible leader nenda kwa magufuli huko tuachie chama chetu.
 
Eti harufu ya uwoga!! Ni mpumbavu tu ndo atakaye msuport lissu kwenye jinsi namna anavyo fanya siasa zake za personal attack minus sera ndani yake.
Mmemaliza miaka mitano mnawatukana, kuwadhalilisha na kukandamiza uhuru na haki za wapinzani na wananchi kwa ujumla.
Sasa ni wakati kwenu kulipa. Wengine weshaanza kuzurura na VIYOYOZI.
Hakuna kelele wala vitisho vyenu vitakavyoweza kuzuia, MTALIPA 28/10.
Makaburu SA, pamoja na kujenga 'midaraja' na kununua 'midege' zaidi ya mara elfu kuliko NYIE, kwa kuwa waliacha maendeleo ya kweli ya wananchi, walitupwa.
1601805405101.png
 
Tujiunge live na matangazo ya moja kwa moja[emoji116]
 
Back
Top Bottom