Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Tumemuona Rais mali za serikali, magari ya serikali yaliyobadilishwa rangi na kuwa rangi ya kijani na kuwekwa namba za chama cha mapinduzi, yale yote ni magari ya Ikulu. CCM hawajaagiza gari hata moja, yale ni magari ya Ikulu na kama CCM wanapinga watoke hadharani na document hizi hapa........kwamba Magufuli ni mzalendo,mzalendo uchwara?
Huyo bado ni Rais ndiyo maana anaendelea kulindwa na vyombo vya dola na ipo hivyo duniani kote! Unafikiri wataacha kutumia helicopiter za kumlinda Rais simply kuna uchaguzi? Niambie nchi gani hata Marekani wamefanya hivyo!!?
 
Mimi siko emotional ni kwa sababu tu haunijui, mimi natumia logic ambayo labda wengi wenu hamuitumii, Mbowe anajua kwamba Tundu hawezi kushinda Uraisi wa JMTZ lkn bado anataka (Mbowe) kuwa relevant baada ya 2020 hivyo ni lazima ashinde Ubunge ili aweze kuendelea kuwa relevant, anajua akimfwata tundu Tume yetu iliyoko Kikatiba itachukua hatua stahiki siajabu ya Serikali za Mitaa kutokea na Mbowe kupoteza Ubunge, hakuna zaidi ya hapo, kwa kifupi mnachezewa tu na hawa Wanasiasa lkn wapo kwa maslahi yao binafsi, ...
Logic ya Mbowe hapa ni kwamba yeye anaangalia ruzuku. Anajua akifanya ununda mgombea anafutwa mazima halafu ruzuku itakuwa ndiyo imepotea.

Lkn kumbe alipaswa kugangamala ili kama mbwayi na iwe mbwayi tu. Na hii ndiyo ingelonesha sura halisi ya ccm ya Magufuli.

Madiwani na wabunge wamefyekwa amufyata. Wagombea wanapigwa ban kupiga kampeni anaufyata, sasa mpk mgombea urais anapigwa ban bado anaufyata. Kuna nn tena hapo?

Chadema utaibiwa halafu Mbowe atawekwa sawa,kisha atakuja na nyimbo zile zile.

Hivi haoni misimamo ya mwenzake Maalim Seif???
 
..but ccm is worse.

..kamati ya maadili imesheheni vyama vibaraka wa ccm.

..nec yenyewe ina upendeleo wa waziwazi kwa ccm.
Halafu mnaposema vyama vingine ni vibaraka, mnamaanisha kuwa nyinyi mna haki zaidi kuliko vyama hivyo. Fikra za namna hiyo hazitakiwi kwenye nchi ya kidemokrasia.
 
Huyo bado ni Rais ndiyo maana anaendelea kulindwa na vyombo vya dola na ipo hivyo duniani kote! Unafikiri wataacha kutumia helicopiter za kumlinda Rais simply kuna uchaguzi? Niambie nchi gani hata Marekani wamefanya hivyo!!?
Kweli #Sunzu hajui kuwa Magufuli bado ni Raisi, hajui Kama Magufuli bado anatekeleza Kama Raisi!
 
  • Thanks
Reactions: UCD
..but ccm is worse.

..kamati ya maadili imesheheni vyama vibaraka wa ccm.

..nec yenyewe ina upendeleo wa waziwazi kwa ccm.
Kama unachosema ni hivyo kuwa vyama vyote ni vibaraka na Chadema ni vibaraka wa nani? Wa mabeberu akina Robert Amsterdam au?
 
Halafu mnaposema vyama vingine ni vibaraka, mnamaanisha kuwa nyinyi mna haki zaidi kuliko vyama hivyo. Fikra za namna hiyo hazitakiwi kwenye nchi ya kidemokrasia.
Kwani uongo kwamba ni vibaraka??? Mbona watanzania tunavijua
 
Mbowe alitakiwa kuomba radhi kwa kitendo cha mgombea wake kutoa kauli ya uongo unaolenga kuigombanisha tume na wananchi. Kutokuomba radhi kunaondoa credibility ya yote aliyoongea.
Kauli ipi ni ya uongo???
 
Az
Mzee wa Faru John kaamua kutoka mafichoni, Tunajua mmejipanga kutaka kuleta stori zenu za kulialia, wakati sheria mmevunja wenyewe, tulieni kama mnanyolewa sheria ishafanya kazi yake, nyie ndo mnaanza kutetemeka kama mbuzi wa kafara, hahaha.
Watanzania tutaichagua CCM, na Tutamchagua Magufuli
Aziz katika ukafiri wa kiwango cha lami.Muslims always wanasimamia HAKI. Je inachofanya tume ni haki?Kama hilo la kutumia watumishi na mali za umma.

Asalaam Waleykum
 
,, p, 9. 'Zvz #., .. is.
, , a z m, 4. ,8, , vp, :*@cv. It. . vv.
,5. ,, o. ,any. C,no c v. N. Zb6 f6,666fsm. ,, ,, ..u. 7 a, , v. I c x. , .. n b .6

Yyya hhurreaa hhhii 6667, jjjyfdaatn bnnnj bbjjgeeaa. Hhhhiuyssab gghhh 😆😆😆😆 bbjjaa 986 ;;; vgfedaa bbbb. Kkkhewqa:'--+7, jjjttewab nnnkgdssvbhh. ,,.njj!!?:&& 32))///!?+ Ggtaajjj yyrrjjki ddwaaqwttbjjn!!!(+®®©π°^¥¥€<,bjjgaybjh.
 
Halafu mnaposema vyama vingine ni vibaraka, mnamaanisha kuwa nyinyi mna haki zaidi kuliko vyama hivyo. Fikra za namna hiyo hazitakiwi kwenye nchi ya kidemokrasia.

..viko vyama vinaendeshwa kwa remote control ya ccm.

..yule katibu wa nec ni kada mkereketwa wa ccm.

..hila za ccm ndiyo zinaharibu na kudidimiza demokrasia nchini.

..rafu ktk siasa zipo ktk nchi nyingi, lakini siyo kwa kutumia tume ya uchaguzi, polisi, na mahakama.
 
Baada ya akusikiliza kwa makini yangu ni haya yafuatayo:-
1. Mhe. Mbowe unaposema chama chenye ushindani na CCM ni Chadema peke yake huoni unadhalilisha vyama vingine vya upinzani. Hata Chadema ilianza mdogo mdogo leo ipo hapo ilipofikia. MBONA UNAUA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI?

2. Mhe. Mbowe unaposema kura za vya vitatu tu kati ya vyama karibu 17 ndio vimepinga kusimamishwa kwa Lissu huoni hiyo ni DEMOKRASIA???

3. Mhe. Mbowe! Kwanini mmeamua kuungana baada ya kuona maji yapo shingoni? Mhe. Membe alisisitiza sana muungane mkamgomea! Leo uchaguzi umebaki siku 24 na mmeambiwa maandalizi yamekwisha ndio mnaungana! Huko ni kutafuta nongwaaaa baada ya kuona mmeshindwa!! Waliokiunga CCM walifanya hivyo kabla kipenga hakijapulizwa. Sasa kipenga kimepulizwa imebaki kama robo kazi iishe mnataka kuungana!! Mwogopeni Mungu wajameni!!

4. Hatujaona mahali mnakemea wana CCM wanaouliwa na kujeruhiwa na wafuasi wenu. Mkt wa CCM Taifa Dr. Magufuli aliwatangazia wanachama wake kisasi ni cha Mungu!! Akaonya wasilipize kisasi!! Huo ni uungwana wa hali ya juu.

5. Ratiba za kampeni kila chama kilipeleka chenyewe kwenye Tume. Leo unalalamikia ratiba uliyotengeneza mwenyewe!! Mambo ya ajabu kabisa na ni kuleta vurugu kwenye nchi!! Mlipoanza mashindano mlikutanishwa wote na mkasaini, leo unasema huyu atolewe! DEMOKRASIA gani hiyo! Hivyo vyama navyo vinafuta fursa na vitakua kama Chadema. Kumbuka kulikuwa na chama chenye nguvu kabla ya Chadema na hawakusema Chadema inaunga mkono CCM.

6. Kila chama kiliwasilisha Tume majina ya watakaopiga kampeni. CCM iliwasilisha majina na Waziri Mkuu ni Mjumbe wa Kamati kuu na jina lilipendekezwa na anapiga kampeni. Sasa nini kinakusumbua?? Mbona Chadema mmetengeneza orodha yenu na hakuna anayewauliza?

Mwisho niseme tu! Tayari mmeona uwezekano wa kushinda ni sawa na ngamia kuingia kwenye tundu la sindano mmeanza kutoka kwenye hoja mpo kwenye viroja! Mnahubiri kusimamia sheria leo mnataka Tume ipindishe sheria. JITAFAKARINI!! WATANZANIA HAWATAKI VURUGU!!! SANDUKU LA KURA LIACHWE LITAAMUA!!! DEMOKRASIA IACHWE ICHUKUE MKONDO WAKE!!!!
Mkuu umeandika Nini? Umeandika kile mbowe kasema ,au umeandika kile umeona moyo wako unakipenda,ebu Soma tena ulichokiandika, na tazama clip tena ya mbowe ni vitu viwili tofauti
 
..viko vyama vinaendeshwa kwa remote control ya ccm.

..yule katibu wa nec ni kada mkereketwa wa ccm.

..hila za ccm ndiyo zinaharibu na kudidimiza demokrasia nchini.

..rafu ktk siasa zipo ktk nchi nyingi, lakini siyo kwa kutumia tume ya uchaguzi, polisi, na mahakama.
Mbowe ameshindwa kujibu hoja leo
 
Kilichofanywa na tume nikuangalia tu chadema watareact vipi hili kupimo upepo siku ya upigaji kura
Hawajui kuwa Chadema wamewaacha ili kupeleka ushahidi kwa Marekani waliotoa tamko kuwawajibisha wote watakaoharibu uchaguzi wa mwaka huu!

Kitendo cha Tume kumsimamisha Lissu kufanya kampeni huku ikiwa haifanyii kazi malalamiko ya chadema ni ushahidi mkubwa sana kwa Marekani jinsi gani demokrasia inavyokandamizwa na Tume kwenye uchaguzi huu.

Chadema anachofanya ni kufuata taratibu akijua wakubwa wote wanakusanya ushahidi ili siku ya mwisho wakianza kuwaadhibu CCM na vibaraka wake wasiwe na visingizio
 
Hakuna kitu ishatoka hiyo. Na hapo ni kama wamepingana na msimamo wa lissu ambaye alikuwa tayari leo kuendelea na kampeni
Wanapunguza moto kwa uoga wao wa kijinga. Lissu ni mtu sahihi, makini na anajua jinsi gani ya kudili na jamii ya wakandamizaji. Malcom X anasema huwezi kudili kwa kutumia hekima kwa jamii ambayo hekima mliitumia tangu kale juu ya mwenendo wao wa ukandamizaji lakini hawajaielewa na hawataki kuielewa. Njia pekee ya kudili na wakandamizaji ni kutumia njia ileile kama wanayotumia wao ikiwa unaamini unapigania haki.

Tume kumsimamisha Lissu ni ubatili wa mchana kweupe! Hakuna misingi au taratibu yoyote aliyoivunja kisheria. Udhaifu waliyouonyesha leo Chadema ni mkubwa sana. Unafikiri kwa ule moto Lissu aliyokuwa anadili na askari kwa sasa askari watamuona mlaini tu hawatomuhofia.
 
Back
Top Bottom