Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Status
Not open for further replies.
Udikteta anao mbowe mfahamu huyo anakutosah
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Rudi kwanza shule ujifunze kuandika kwa usahihi, ukifanikiwa hilo ndio uje ujadili na mimi. Huna viwango vyangu dogo.
 
Udikteta anao mbowe mfahamu huyo anakutosah

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachosema kinatoka moyoni mwako na dhati kuwa "Mbowe" ni dikteta (kwa mujibu wako na ccm) kulinganisha na anayedai "hajaribiwi,angewapoteza robo/nusu ya walioshangilia mtia nia mwenzie,aliyetoa agizo wabunge wafukuzwe ili awashughulikie wakiwa nje?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…