CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

Tupo siti za mbele hakuna kulala Dakika za majeruhi lazima kuendeleza mbinyo kwa hawa wenzetu wa mtaa wa Lumumba wakubali matokeo 2020
Mmmh nimekosa kiti naomba kale ka mkeka nikae huku,fungueni madirisha tupate hewa.
 
Bora muyaeleze hayo maovu "yanayopangwa" na hao maccm, ambayo hayaleti afya kwa demokrasia nchini kwetu
pia wazisome hadharani barua zote za malalamiko walizoziwasilisha NEC dhidi ya mgombea urais wa CCM na pia wafafanue mashiko ya hayo malalamiko kisheria na kikanuni.
halikadhalika waeleze kwa nini Chadema inaamini NEC ina upendeleo kwa mgombea urais wa CCM.
 
Yani chadema muendelee kuruka na huyu kilaza wenu ila ikifika October 28 mtaelewa tunaposema tutawachapa na safari hii kwa kishindo hadi mtastaafu siasa.
Sio kustaafu tu na Mbeligiji atarudi kwao waliomtuma.
 
Pale makaomakuu ya Chadema sio ofisi ni store ya kutunzia mizigo.
 
Una mume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…