CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Unawezaje kushiriki uchaguzi wa namna hii?
2183704_IMG_1183.jpg
FB_IMG_1570952637609.jpg
 
Wamechelewa sana. Tuliwaambia wahimize watu wasijiandikishe, wao wakahimiza waende kujiandikisha. Hawa jamaa sijui kwa nini ni wagumu sana kuona hali halisi.
Naona mpira umetiwa kwapani saaa

Wengi walitabili hili sasa rasmi CCM imeshinda mapema

Kauli ya mwenyekiti imenukuliwa na vyombo vyote baada ya kikao cha kamati kuu View attachment 1256620
 
Haya mambo mnayafurahia ila mwisho wake ni mbaya sana kwa CCM.
Dhambi hii haiwezi kuwaacha salama, kitakachowakuta ni kugawanyika wenyewe kwani hata 2020 mtakuwa na timu ndani ya CCM na uchaguzi ukiisha mtaanza kunyoosheana vidole wenyewe msijue adui yenu ni nani na hapo ndio maandiko yatatimia.
 
Afadhali wametuokolea mda na gharama japo hizo gharama sijui km zitarudishwa serikalini.
Lkn gharama na hasara ya chadema kujitoa ni kubwa kwa baadae kuliko ambavyo ingeshiriki lkn hii dhana inahitaji kwa mtu mwenye jicho la mwewe ndio ajue ninamaanisha nini,
 
Sasa vyama vingine ACT, NCCR nk vitangaze kujitoa ili hata upinzani CCM B kama CUF, TLP na UDP vikiungana na mume wao CCM hata wakiendelea shauri yao.
Chadema imefanya vizuri kusubiri hadi hatua hii ili ushahidi wa uzandiki wao uwe wazi
 
Back
Top Bottom