MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Hata hao waliowatuma hatuwatambui tunawaona kama vibaka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe analazimisha kupendwa kwa nguvu, nadhani familia yake ina matatizo makubwa sanaDuh.....ila serekali ikubali imeteleza
Toka awali tukiwahimiza fisiemu kufuta vyama vyote ili wabaki peke yao kuepuka kuharibu rasilimali na muda wa watanzania kusaka mkate wao katika mambo yasiyo na tija.Ulikuwa ni upumbavu kushiriki uchaguzi wa kipumbavu uliondaliwa na watu wapumbavu kuja kuleta matokeo ya kipumbavu!
Manyang'au wakionesha sifa za unyani wao kwa jina la kujenga umoja wa kitaifa na uzalendo!!
Anguko kubwa litafichua rasmi unafiki na yale yanayodhaniwa ndiyo na kumbe siyo...Tanzania inahitaji upinzani ili kuleta changamoto kwa chama tawala kwa ajili ya maendeleo.
Pindi hawa wana CCM wanaogeuza siasa kama michezo watakapogundua kuwa upinzani umemalizwa na hawana tena cha kushangilia basi watajikuta wanashindana kushangilia vitu vya kijinga tu kama vile jinsi mfalme alivyovaa suti na kumpendeza, eventually wenye akili kati yao watagundua na kujilaumu kwa kubariki uuaji wa upinzani nchini.
Mwenzao Nyerere alyaona haya miaka 50 baada na yeye kudhani mfumo wa chama kimoja ndiyo sahihi, lakini alipokuwa nje ya utawala akagundua hypocricy iliyopo ndani ya chama kimoja, yaani watu kushangilia lolote ilimradi wapate shibe badala ya kuumizwa kichwa na mambo ya wananchi!
Malofa wapumbavu hawakujifunza kwenye zoezi la uandikishwaji wakazi sasa watahaha zaidi kwenye upigaji kuraFigisu na ubabaishaji katika uchaguzi serikali za mitaa ulifanywa ili kuwapitisha bila kupingwa wagombea wa CCM. Ajabu ni kuwa Chadema imejitoa ili wajitangaze washindi wa kishindo, lakini ghafla wao tena ndio wananyong'onyea na kulalama?
Vyama vingine vikiamua kuunga mkono Chadema kwenye uchaguzi litakuwa pigo kubwa kwao.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza chama chake kutoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kwa madai wakishiriki wanahalalisha ubatili
Maamuzi hayo yanakuja ikiwa ni baada ya Wabunge wa CHADEMA kukutana leo alasiri Novemba 7, 2019 katika Kikao cha Kamati Kuu ya dharura ya chama kilichofanyika mkoani Dodoma
Jana, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema alisema Kamati hiyo itakutana leo kutoa msimamo wao wa mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
----
WAZIRI JAFO AWASHANGAA
Baada ya Chadema kutangaza kutoshiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa, Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo amesema uamuzi huo unawanyima fursa wagombea wa chama hicho waliopitishwa, waliokata rufaa kupinga kuenguliwa.
Pia soma
Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa
Huyo anayeandika "Amekizi vigezo" ni mtumishi anayelipwa na serikali?!www.jamiiforums.com
Vibudu pasi kujua vingine vimeawa kwa sumu!!!Mwala vya kunyonga wala havina ladha. Utamu wa kuku wa kienyeji umkimbize, umkamate umchinje.
Kwani hajawahi pata dharura ukatafuta wakili?,huenda ccm walishtukia mapema kuwa mwaka huu kosa dogo litakufanya uenguliwe wakawatumia mawakili.
Mtazamo wako si sahihi. Pia tofautisha Chadema na upinzani, kilicho fanywa na cdm ilibidi kiwe kimefanywa siku nyingi tena na vyama vyote vinavyo jiita ni vya upinzani.Mimi sifungamani na upande wowote ila ni mtazamo wangu tu.
kama baba yako alivyo kirusi kwenye familia yakoMbowe wewe ni kiongozi wa chama cha siasa.
Lengo kuu la chama chochote ni kushika dola.
Unatakiwa kutambua kususia uchaguzi maana yake ni kuwadhulumu wananchi.
Sio kila mtaa majina yamekatwa, sasa madudu mliyofanya huko kwenu Hai unataka tuumie na tusiousika.
Hiki chama sio cha viongozi, maana ya maamuzi yenu ni kuua chama, serikali inaanzia mtaani, kama mnaona hamtendewi haki mbona ubunge mnaendelea?
Mbowe ni jipu litumbuliwe.
Hahaha, CCM ndio husema ni chama kinachojifia, mimi nimechagiza tu. Soma tena utaelewa tu.Hicho chama unachosema kinajifia ndicho pia kilimtoa jasho huyo mtukufu wenu akawakusanya watendaji nchi nzima na kuwapa maagizo ambayo hata huyo Jafo anayajua.
Haki ilishapotea kabla hata ya zoezi la kuchukua fomu halijaanza.