CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Hata hao waliowatuma hatuwatambui tunawaona kama vibaka tu
 
Kumbuka ni marufuku kwa watoto wa kambo kushiriki mchezo wa "kombolela" sasa watachezaje na wenzao?
 
Kalamu1,
Unadhani hili linawezekana? Umesahau mbunge anatakiwa kufanya siasa kwenye eneo lake? Sasa tunaelekea kwenye kila Mwenyekiti wa Kitongoji, Mtaa na kijiji kufanya siasa kwenye eneo lake!!!
 
Ulikuwa ni upumbavu kushiriki uchaguzi wa kipumbavu uliondaliwa na watu wapumbavu kuja kuleta matokeo ya kipumbavu!
Toka awali tukiwahimiza fisiemu kufuta vyama vyote ili wabaki peke yao kuepuka kuharibu rasilimali na muda wa watanzania kusaka mkate wao katika mambo yasiyo na tija.
 
Anguko kubwa litafichua rasmi unafiki na yale yanayodhaniwa ndiyo na kumbe siyo...
 
Malofa wapumbavu hawakujifunza kwenye zoezi la uandikishwaji wakazi sasa watahaha zaidi kwenye upigaji kura
 

NI UAMUZI BORA KABISA. VIVA CHADEMA, VIVA MBOWE.
 
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba -" Sijawahi kuona uchaguzi wa kihuni ktk nchi hii toka uhuru wa Tanganyika upatikane". Mwisho wa kumnukuu Mwenyekiti wa chama cha siasa cha CUF.

Prof. Lipumba aufananisha uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji unaoratibiwa wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) iliyo chini ya Ofisi ya Rais kuwa kinachoendelea ni uchafuzi wa amani na siyo uchaguzi.

Mwenyekiti wa CUF alisema badala ya kupoteza kuandaa uchaguzi huu batili ni bora serikali ya CCM ingepeleka muswada wa mwendokasi Bungeni ili bunge hilo lenye wingi wa wabunge toka CCM wabadili sheria ya vyama vingi, nchi iwe ya chama kimoja tu kuokoa fedha za walipa kodi kujenga shule na vituo vya afya badala ya kufanya vituko vya namna hii kuviita uchaguzi wa serikali za mitaa Tanganyika.

Source: DARMPYA TV
 
DJ kanyooka anamgwaya meko balaa, yani kiufupi kaufyata sasa anawauza wenzie awamu ya pili

Awamu ya kwanza kawauza kwa EDO
Awamu ya pili anawauza kususia uchaguzi eti hatutawatambua viongozi ambao watachaguliwa yani utoto utoto tu hivi hawa si walisema hawatamtambua meko wakasusia mpaka kikao siku anahutubia bunge je leo bado hawamtambui

DJ kawauza wenzake tena CDM imernda na Dr slaa.
 
kama baba yako alivyo kirusi kwenye familia yako
 
Hicho chama unachosema kinajifia ndicho pia kilimtoa jasho huyo mtukufu wenu akawakusanya watendaji nchi nzima na kuwapa maagizo ambayo hata huyo Jafo anayajua.
Haki ilishapotea kabla hata ya zoezi la kuchukua fomu halijaanza.
Hahaha, CCM ndio husema ni chama kinachojifia, mimi nimechagiza tu. Soma tena utaelewa tu.
 
Hawakutaka cdm wajitoe ili wauhadae umma na dunia kuwa kuna demokrasia lakini washinde kihuni. Sasa wanajua fika umma na dunia utawajua kuwa wanabaka demokrasia, na itadhibitika kuwa nchi inaendeshwa na dictator. Wanajua fika kuwa nchi inazidi kujipaka matope kuwa haiheshimu utawala wa sheria, na madai ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi yanazidi kupata nguvu, jambo ambalo rais Magufuli halitaki kwani hana uwezo wa kushindana kisiasa. Kikubwa wanaogopa mbinyo wa kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…