Usishangae Mwanasheria mkuu wa serikali na waziri wa sheria na katiba wakaja na sheria na Wakapitisha kwamba " chama kikijitoa au kutokushiriki uchaguzi wanakifuta". hii itawakua inawapa shavu ccm kuiba.Hawakutaka cdm wajitoe ili wauhadae umma na dunia kuwa kuna demokrasia lakini washinde kihuni. Sasa wanajua fika umma na dunia utawajua kuwa wanabaka demokrasia, na itadhibitika kuwa nchi inaendeshwa na dictator. Wanajua fika kuwa nchi inazidi kujipaka matope kuwa haiheshimu utawala wa sheria, na madai ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi yanazidi kupata nguvu, jambo ambalo rais Magufuli halitaki kwani hana uwezo wa kushindana kisiasa. Kikubwa wanaogopa mbinyo wa kimataifa.
Dar washiriki mitaa 24 kati ya 567 ,mbeya ndio wameenguliwa wagombea karibia wote na sehemu zingine hivo hivo.unafikiri haya yametokea kwa bahati mbaya? Nafikiri kabla ya kuandika fikiria kwanza. Kiujumla wangeshiriki au hiv walivyofanya adhari zipo tu. Ila ujue hii hali itaback fire baadae.Kitendo cha viongozi wa upinzani kususia uchaguzi kwa kuorodhesha mapungufu kadhaa huenda ikawa na athari kwa uchaguzi wa mwakani kwa wafuasi wao kususia uchaguzi ujao,kwani hata Kama watahamasishwa na vyama vyao bado wanachama wao wataona hakuna kilichobadilika na hivyo kutoona umhimu kushiriki uchaguzi huo..kwa hiyo waliyofanya Leo mavuno mwakani.
NAWASILISHA.
Wataandika kwenye safari wafuasi deli wa CDM na kujipigia kura. Ukienda vituoni utakuta wako bize kujaza Kira walixoigia nyumbani kwenye masandukuKujitoa CHADEMA maana yake wamejitoa wapiga kura, Hiyo Tarehe 24/11 utaona vituo vya kupigia kura vitupu. Maana wamezoea kuiba kura za chadema na kuzifanya zao sasa wana hahaha kwa sababu watamuibia nani na hakutakuwa na cha kuiba. Kura hazitokuwepo, na wapigaji hutowaona siku hiyo ndiyo maana ccm wanalalama
Wala hakiumi. CCM itaendelea na uchaguzi na viongozi wa kuwatumikia wananchi watapatikana.Kwani nyie NYINYIEMU kinawauma nini? Jitangazeni tu washindi
Acha upumbavu siishi kutegemea hao vilaxa waliowekwa ba mbwa koko mkuu. Sanasana nitawapa kichapo wakileta za kuleta na hivi hakuna policcm!! Punching bag liko bayanaMsipowatambua inamaana mtaishije huko makwenu?..
Ila mlikuwa kimya hadi nimesoma hamkusaidiana kujaza fomu vizuri.. kama kawaida munasubiri.. ndio munakurupuka..
HATA SIJAELEWAWataandika kwenye safari wafuasi deli wa CDM na kujipigia kura. Ukienda vituoni utakuta wako bize kujaza Kira walixoigia nyumbani kwenye masanduku
Mjinga bimkubwa wako kwa kuleta shoga dunianiTangu lini umekuwa msemaji wa chadema
Tusiwatambua tutapata utambuzi wa serkali za mtaa kwenye ofisi za mbowe acheni upumbavu wajinga nyie
Waacheni wananchi wapate hudumu
State agent
Mbwa kokoNa haka kajamaa kanaongeeeeea, duuh
Msipowatambua inamaana mtaishije huko makwenu?..
Ila mlikuwa kimya hadi nimesoma hamkusaidiana kujaza fomu vizuri.. kama kawaida munasubiri.. ndio munakurupuka..
Ni sawa na kupiga punieto tuWakisusa, sie twala.
P