Upepo upi hapa tunaongea ukweli mtumishi wa bwana ukweli ni kwamba DJ kawauza wenzieAcha kuleta mafunza yako kwenye hili jukwaa wewe!;Kichwa fuata bendera.
Mbona mnaumia nyinyi badala ya waliosusia?Safi Mbowe kacheza Kama Mchezaji wa zamani wa Moira Pele.
Seif sharrif Hamadi aliwabwaga CUF Zanzibar kwa kususa uchaguzi Zanzibar Hadi Leo hakuna mbunge Wala mjumbe wa Baraza la wawakilishi hata mmoja baada ya Seif kuifungia goli CCM
Mbowe naye kacheza mpira Safi kaifungia goli CCM la viongozi wa serikali za mitaa,vijiji na Vitongoji..Kama Seif Sharrif Hamad alivyocheza kwa niaba ya CCM na Mbowe kacheza vile vile
Mbona mnaumia sana ccm, chadema kujitoa badala ya kuumia wao?Mitaani wanachadema wanapiga kelele za faulo kuwa Kamati kuu ya chadema imeuza mechi kwa CCM .
Hivi wanamaanisha Nini?
OOOh, Yeah! Haya mambo ya kujiliza liza na kusema CCM wanatumia nguvu, halafu unajiondoa, hayafai. Unataka nani akusaidie hiyo kazi yako ya siasa? Mimi ni mkulima mbona jua likiwaka natafuta mbinu mwenyewe bila kuwalilia wanasiasa?
Wanasiasa wanataka tuwe mateka wa kazi yao. CHADEMA, ACT, pambana na CCM. Wakitoa virungu nanyi toeni virungu. hiyo ni kazi yenu!
Wanapenda sana kushindana ila
|
mechi rahisi sana shida refa yuko upande mmoja dk ya 6 kadi nyekundu 5 bado njano kibao haahahaha ila anataka mpira uendelee hahahahaNAONA WAMEWEKA MPIRA KWAPANI BAADA YA KUONA MECHI NGUMU KWAO
Si wanamjua KUB kama ni mteule wa kimya kimya!Mitaani wanachadema wanapiga kelele za faulo kuwa Kamati kuu ya chadema imeuza mechi kwa CCM .
Hivi wanamaanisha Nini?
Moderator
Tafadharini hizi propaganda kwenye maswala muhimu kwa ustawi wa nchi.
Na hatarishi!Usisahau kwamba ukimminya zaidi mtu kwa uonevu unampa mwanya wa kufikiri mbinu mbadala
Tuendako sio kuzuri ni balaa na majanga.