Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 8,118
- 13,547
Kiuhalisia hili haliwezekani ni rahisi zaidi kutokushirikiana na diwani,mbunge au Rais kuliko hawa wenyeviti wa mitaa.
Mfumo uliopo unakulazimisha si tu uwatambue bali ushirikiane nao.
Ukienda bank kufungua account watahitaji barua ya utambulisho wa makazi.
Ukitaka kumiliki silaha kihalali lazima hao wenyeviti wahusike.
Baadhi ajira kama ulinzi.na kwa wasiowaajiriwa microfinance hazikopeshi hadi barua ya utambulisho wa makazi.
Mauziano ya viwanja na mashamba pia etc
You need a new approach,hili lipo kinadharia mno.
Mfumo uliopo unakulazimisha si tu uwatambue bali ushirikiane nao.
Ukienda bank kufungua account watahitaji barua ya utambulisho wa makazi.
Ukitaka kumiliki silaha kihalali lazima hao wenyeviti wahusike.
Baadhi ajira kama ulinzi.na kwa wasiowaajiriwa microfinance hazikopeshi hadi barua ya utambulisho wa makazi.
Mauziano ya viwanja na mashamba pia etc
You need a new approach,hili lipo kinadharia mno.