CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Yawezekana ni kweli kuna matatizo katika uongozi wa vyama vya upinzani lakini tatizo lao ni dogo. Kubwa kuliko yote, tuna utawala usio na hekima wala maono, uliokosa busara na weledi. Ni utawala unaofurahia ushetani, unaotaka kulieleeza Taifa gizani.

Taifa linataka mwanga, linataka utawala wa kulipeleka mbele katika nyanja zote, na siyo kuliingiza shimoni. Wenye hekima wote na wenye dhamira njema, inukeni, jiwekeni wazi na wala msijishikamanishe na uovu kwa maana baba wa uovu ni shetani.
 
Alianza Britanicca, akaja nani sijui yule, sasa kaja TumainiE, mtalialia sana mwaka huu. Na bado hamjalipa gharama ya damu za watu.

No sympathy.
Hata johnthebaptist wa Maendeleo Hayana Vyama anashangaa sababu za Wagombea wa Upinzani kukatwa.
 
hivi wewe mkuu hata kama kwa mahaba ya chama chako, yaliyofanyika unaona ni sawa? kwamba hao wapinzani tu ndo waliwekewa pingamizi, ndo hawajui kujaza fomu, ccm nchi nzima hakuna mgombea hata mmoja aliyekosea, unaona ni haki?
Mitaani wanachadema wanapiga kelele za faulo kuwa Kamati kuu ya chadema imeuza mechi kwa CCM .

Hivi wanamaanisha Nini?
 
KUNA POST
NILIWEKA HAPAA KUULIZA.CHADM WALIGOMA VIPI HII YA SERKL.ZA.MTAA WANASHIRIKI

HOPE SASA MMENIELEWA NAPITA TU
DOH NASIKIA.MJOMBA WANGU ALIKUWA MWN SERKL ZA MITAA.MAKA.MITANO NAE HAJUI KUANDKKA ...
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
CCM WANALALAMIKA.

unafiki wa kiwango cha juu zaidi
 
Yani Mbowe ni mbaya sana uyu jamaa ataki watu wahoji yy anapenda tuu kusitishs uchaguzi ila ubunge aachi
 
mwenyekiti wenu anataka ccm itawale milele.
Sawaa mmepewa ruhusa ya kutawala bado mnalalamika.
SASA MNATAKA NINI CCM?
 
Wapinzani wa hapa Tanzania wanapenda na wanaweza kufanya siasa 'kivulini'. Wakibanwa kidogo hawana mbinu nyingine zaidi ya kuridi kwa wananchi kueleza changamoto na malalamiko.
 
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30] View attachment 1257249
Na nini matokeo ya mwisho huku mitaani au ndio tutakuwa na wenyeviti miungu watu wenye viburi visivyomithilika? au ndio wananchi hawatashirikiana na wenyeviti wao ama kinyume chake? Je mashirikiano kijamii yatakuwa kama awali pasi kujali uvyama? Je chuki hizi za kisiasa zitatupeleka wapi?
Naona giza...
Naona tunatumbukizwa shimoni...
 
Mwanakijiji hata ukibadilisha mwekiti mbowe usiyempenda huyo atakayekuja ndio atawrza kuihua mbinu Mpya ambayo Leo haipo. Hata ukibadili uongozi ujue wote watakuwa hao unaowaona hapo chadema.
Usijifoche kwenye hicho kivuli km means ipo wape uone kama hawataitrkeleza
 
Sasa c ujinga anafanya uwo ye aoni
 
Eti kwann asusiii
 
Wewe ni intarehamwe?
Umemfunga selo, makesi kibao na umenyima fomu za uchaguzi, kirusi kiko kwako hujijui tu.
 
Ukiona waliokuwa wanatetea wameanza kuona tofauti ujue kuna shida, pole sana COMRADE, vita yako na wajibu wako uliutekeleza sana, lakini hawa jamaa hawabebeki tena.

Nikumbuka kauli ya kiongozi mmoja kwamba Vyama vinavyodai Uhuru baada ya miaka 50 ya Uhuru hugeuka vyama vya KIGAIDI
 
Kwa ujumla tusipepese macho. Bado kidogo kila mmoja atajua na kushuhudia kuwa tumepata hasara, na bila shaka tupo katika hali kuliko kipindi chochote.

Watu wanadanganywa na rangi nzuri ya nyoka wakisahau kuwa rangi nzuri ya nyoka huashiria sumu nzuri ya nyoka, na sumu nzuri ya nyoka ni ile ya maangamizi makubwa.

Hakuna mtawala mbaya aliyeingia bila ya kusifiwa sana, hata Amini alishangiliwa sana, na waganda wakasema kwa mara ya kwanza wamepata mtawala mzuri kuliko wote waliotangulia. Wakati uliwafundisha na kuwapa alama za ufaulu katika fikra zao.

Kitu kibaya au kizuri utakijua kwa ishara za mwanzoni. Haya ya sasa yanaashiria hulka ya yale yanayojengeka.

Tumwombe Mungu atuondoe kwa amani katika njia ya uovu ambayo tumewekwa bila kujitambua, na kwa sauti kubwa tunaimba na kujisifu kuwa tupo katika usahihi.
 
Political is a game of Chance, wacha CCM na Vyama vingine vitumie hiyo kama Fursa..
 
mechi rahisi sana shida refa yuko upande mmoja dk ya 6 kadi nyekundu 5 bado njano kibao haahahaha ila anataka mpira uendelee hahahaha
SI HAMJUI KUCHEZA MPIRA VIZURI ACHA MLE KADI ZA KUTOSHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…