CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Wewe unayeishi hapa nchini kwa kujifanya mara afisa usalama mara mjaruo mara mkurya wakati wewe ni mtaita uliyefukuzwa kwenu kwa utapeli
 
Unatujazia tu serve kwa mambo ya HOVYO mno uliyo andika!
Mods muwe mnaondoa upuuz kama huu
 
Umeandika Upuuzi mtupu.Ni kama hauoni kinachoendelea.Au ndio nyie mnaoshibishwa Na Awamu hii mwishowe mmekengeuka Na kuwa Wapofu Hata kwenye kweli mnasimamia upande wa hujuma tu.Stupid
 
Kwani wewe hupendi maridhiano mkuu!!?
 
Waliojitoa ni CHADEMA, ila wanaolalamika ni CCM.

Hivi wana-CCM wenzangu mna matatizo gani?

Hivi mshindani wako akisusia mashindano 'halali' inakuuma nini?

Tuache ujinga na upumbavu uliovuka mipaka
 
Naona unajitekenya na kujichekesha unafiki mbaya
 
Rubbish.
 
Jamaa umeandika pumba zakutosha kula NGURUWE ZANGU MWEZI MZIMA
 
Jaffo atakuwa kafurahi kweli na kushangilia hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…