Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Wamejitoa mnapata shida ninyi shauri yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe lengo la Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kutaka kuitwa na serikali wabembelezwe eti Ndiyo warudi wallahi hii imekula kwenu siyo kwa Dr John Pombe Magufuli.
Mkakati huu umeandaliwa na Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wao hapa nchini.
Mpango huu wa kujitoa ni Mahususi ili Umoja wa Ulaya ushinikize kufanyika mkutano wa maridhiano kati ya Serikali na vyama vya Upinzani.
Taarifa kutoka ndani Chadema zinadai Mkakati huu ni ilipangwa Maalum kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi mkuu mwakani na unaratibiwa na mtu moja anayedaiwa ni ndugu wa mmoja wa Viongozi wakuu wa Chadema anayefanya kazi katika moja ya Balozi katika nchi za Magharibi.
Kosa ambalo serikali imefanya kwa Muda mrefu ni kuwadekeza na kuwapendelea vyama vya Upinzani kiasi kwamba wakajiona ni haki yao kutozingatia sheria na Kanuni.
Wamekuwa wakifanya makosa ya makusudi kabisa Hivi inaingiaje akilini chama cha siasa kukaa na Viongozi wakuu wa kukaimu kwa Muda wa miaka mitatu bila kufanya Uchaguzi ndani ya chama chao.
Inaingiaje akilini chama kinachojidai kuwa ni chama kikuu cha Upinzani kinashindwa hata kutoa ratiba ya Uchaguzi ndani ya chama pamoja na Msajili kuwaandikia barua ya kuwakumbusha kufanya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria ya Vyama lakini bado wanakuja na porojo kuwa wanaonewa.
Akili yao wanadhani wakifutwa wanachafua nchi Kimataifa eti huo Ndiyo Mkakati wao wa Kisiasa.
Wakiambiwa Dr Wilbroad Peter Silaa ndiye alikuwa kamusi ya chama wananuna.
Tunawaambia TRAIN IKIONDOKA HAIRUDI RIVASI KAZI YA MWANAUME HAPEWI MVULANA.
Na lyatongaMtahangaika sana na Chadema, chama hakibariki ujinga endeleeni na Zitto Kabwe wenu.
Unatujazia tu serve kwa mambo ya HOVYO mno uliyo andika!Kumbe lengo la Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kutaka kuitwa na serikali wabembelezwe eti Ndiyo warudi wallahi hii imekula kwenu siyo kwa Dr John Pombe Magufuli.
Mkakati huu umeandaliwa na Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wao hapa nchini.
Mpango huu wa kujitoa ni Mahususi ili Umoja wa Ulaya ushinikize kufanyika mkutano wa maridhiano kati ya Serikali na vyama vya Upinzani.
Taarifa kutoka ndani Chadema zinadai Mkakati huu ni ilipangwa Maalum kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi mkuu mwakani na unaratibiwa na mtu moja anayedaiwa ni ndugu wa mmoja wa Viongozi wakuu wa Chadema anayefanya kazi katika moja ya Balozi katika nchi za Magharibi.
Kosa ambalo serikali imefanya kwa Muda mrefu ni kuwadekeza na kuwapendelea vyama vya Upinzani kiasi kwamba wakajiona ni haki yao kutozingatia sheria na Kanuni.
Wamekuwa wakifanya makosa ya makusudi kabisa Hivi inaingiaje akilini chama cha siasa kukaa na Viongozi wakuu wa kukaimu kwa Muda wa miaka mitatu bila kufanya Uchaguzi ndani ya chama chao.
Inaingiaje akilini chama kinachojidai kuwa ni chama kikuu cha Upinzani kinashindwa hata kutoa ratiba ya Uchaguzi ndani ya chama pamoja na Msajili kuwaandikia barua ya kuwakumbusha kufanya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria ya Vyama lakini bado wanakuja na porojo kuwa wanaonewa.
Akili yao wanadhani wakifutwa wanachafua nchi Kimataifa eti huo Ndiyo Mkakati wao wa Kisiasa.
Wakiambiwa Dr Wilbroad Peter Silaa ndiye alikuwa kamusi ya chama wananuna.
Tunawaambia TRAIN IKIONDOKA HAIRUDI RIVASI KAZI YA MWANAUME HAPEWI MVULANA.
Wameumbuka ndiyo maana wanapapalika kama kuku anayekata rohoSasa si ndio mshangilie mna shinda 100%
Kumbe lengo la Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kutaka kuitwa na serikali wabembelezwe eti Ndiyo warudi wallahi hii imekula kwenu siyo kwa Dr John Pombe Magufuli.
Mkakati huu umeandaliwa na Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wao hapa nchini.
Mpango huu wa kujitoa ni Mahususi ili Umoja wa Ulaya ushinikize kufanyika mkutano wa maridhiano kati ya Serikali na vyama vya Upinzani.
Taarifa kutoka ndani Chadema zinadai Mkakati huu ni ilipangwa Maalum kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi mkuu mwakani na unaratibiwa na mtu moja anayedaiwa ni ndugu wa mmoja wa Viongozi wakuu wa Chadema anayefanya kazi katika moja ya Balozi katika nchi za Magharibi.
Kosa ambalo serikali imefanya kwa Muda mrefu ni kuwadekeza na kuwapendelea vyama vya Upinzani kiasi kwamba wakajiona ni haki yao kutozingatia sheria na Kanuni.
Wamekuwa wakifanya makosa ya makusudi kabisa Hivi inaingiaje akilini chama cha siasa kukaa na Viongozi wakuu wa kukaimu kwa Muda wa miaka mitatu bila kufanya Uchaguzi ndani ya chama chao.
Inaingiaje akilini chama kinachojidai kuwa ni chama kikuu cha Upinzani kinashindwa hata kutoa ratiba ya Uchaguzi ndani ya chama pamoja na Msajili kuwaandikia barua ya kuwakumbusha kufanya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria ya Vyama lakini bado wanakuja na porojo kuwa wanaonewa.
Akili yao wanadhani wakifutwa wanachafua nchi Kimataifa eti huo Ndiyo Mkakati wao wa Kisiasa.
Wakiambiwa Dr Wilbroad Peter Silaa ndiye alikuwa kamusi ya chama wananuna.
Tunawaambia TRAIN IKIONDOKA HAIRUDI RIVASI KAZI YA MWANAUME HAPEWI MVULANA.
Kwani wewe hupendi maridhiano mkuu!!?Kumbe lengo la Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kutaka kuitwa na serikali wabembelezwe eti Ndiyo warudi wallahi hii imekula kwenu siyo kwa Dr John Pombe Magufuli.
Mkakati huu umeandaliwa na Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wao hapa nchini.
Mpango huu wa kujitoa ni Mahususi ili Umoja wa Ulaya ushinikize kufanyika mkutano wa maridhiano kati ya Serikali na vyama vya Upinzani.
Taarifa kutoka ndani Chadema zinadai Mkakati huu ni ilipangwa Maalum kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi mkuu mwakani na unaratibiwa na mtu moja anayedaiwa ni ndugu wa mmoja wa Viongozi wakuu wa Chadema anayefanya kazi katika moja ya Balozi katika nchi za Magharibi.
Kosa ambalo serikali imefanya kwa Muda mrefu ni kuwadekeza na kuwapendelea vyama vya Upinzani kiasi kwamba wakajiona ni haki yao kutozingatia sheria na Kanuni.
Wamekuwa wakifanya makosa ya makusudi kabisa Hivi inaingiaje akilini chama cha siasa kukaa na Viongozi wakuu wa kukaimu kwa Muda wa miaka mitatu bila kufanya Uchaguzi ndani ya chama chao.
Inaingiaje akilini chama kinachojidai kuwa ni chama kikuu cha Upinzani kinashindwa hata kutoa ratiba ya Uchaguzi ndani ya chama pamoja na Msajili kuwaandikia barua ya kuwakumbusha kufanya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria ya Vyama lakini bado wanakuja na porojo kuwa wanaonewa.
Akili yao wanadhani wakifutwa wanachafua nchi Kimataifa eti huo Ndiyo Mkakati wao wa Kisiasa.
Wakiambiwa Dr Wilbroad Peter Silaa ndiye alikuwa kamusi ya chama wananuna.
Tunawaambia TRAIN IKIONDOKA HAIRUDI RIVASI KAZI YA MWANAUME HAPEWI MVULANA.
Kumbe lengo la Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kutaka kuitwa na serikali wabembelezwe eti Ndiyo warudi wallahi hii imekula kwenu siyo kwa Dr John Pombe Magufuli.
Mkakati huu umeandaliwa na Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wao hapa nchini.
Mpango huu wa kujitoa ni Mahususi ili Umoja wa Ulaya ushinikize kufanyika mkutano wa maridhiano kati ya Serikali na vyama vya Upinzani.
Taarifa kutoka ndani Chadema zinadai Mkakati huu ni ilipangwa Maalum kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi mkuu mwakani na unaratibiwa na mtu moja anayedaiwa ni ndugu wa mmoja wa Viongozi wakuu wa Chadema anayefanya kazi katika moja ya Balozi katika nchi za Magharibi.
Kosa ambalo serikali imefanya kwa Muda mrefu ni kuwadekeza na kuwapendelea vyama vya Upinzani kiasi kwamba wakajiona ni haki yao kutozingatia sheria na Kanuni.
Wamekuwa wakifanya makosa ya makusudi kabisa Hivi inaingiaje akilini chama cha siasa kukaa na Viongozi wakuu wa kukaimu kwa Muda wa miaka mitatu bila kufanya Uchaguzi ndani ya chama chao.
Inaingiaje akilini chama kinachojidai kuwa ni chama kikuu cha Upinzani kinashindwa hata kutoa ratiba ya Uchaguzi ndani ya chama pamoja na Msajili kuwaandikia barua ya kuwakumbusha kufanya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria ya Vyama lakini bado wanakuja na porojo kuwa wanaonewa.
Akili yao wanadhani wakifutwa wanachafua nchi Kimataifa eti huo Ndiyo Mkakati wao wa Kisiasa.
Wakiambiwa Dr Wilbroad Peter Silaa ndiye alikuwa kamusi ya chama wananuna.
Tunawaambia TRAIN IKIONDOKA HAIRUDI RIVASI KAZI YA MWANAUME HAPEWI MVULANA.
Rubbish.Kumbe lengo la Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kutaka kuitwa na serikali wabembelezwe eti Ndiyo warudi wallahi hii imekula kwenu siyo kwa Dr John Pombe Magufuli.
Mkakati huu umeandaliwa na Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wao hapa nchini.
Mpango huu wa kujitoa ni Mahususi ili Umoja wa Ulaya ushinikize kufanyika mkutano wa maridhiano kati ya Serikali na vyama vya Upinzani.
Taarifa kutoka ndani Chadema zinadai Mkakati huu ni ilipangwa Maalum kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi mkuu mwakani na unaratibiwa na mtu moja anayedaiwa ni ndugu wa mmoja wa Viongozi wakuu wa Chadema anayefanya kazi katika moja ya Balozi katika nchi za Magharibi.
Kosa ambalo serikali imefanya kwa Muda mrefu ni kuwadekeza na kuwapendelea vyama vya Upinzani kiasi kwamba wakajiona ni haki yao kutozingatia sheria na Kanuni.
Wamekuwa wakifanya makosa ya makusudi kabisa Hivi inaingiaje akilini chama cha siasa kukaa na Viongozi wakuu wa kukaimu kwa Muda wa miaka mitatu bila kufanya Uchaguzi ndani ya chama chao.
Inaingiaje akilini chama kinachojidai kuwa ni chama kikuu cha Upinzani kinashindwa hata kutoa ratiba ya Uchaguzi ndani ya chama pamoja na Msajili kuwaandikia barua ya kuwakumbusha kufanya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria ya Vyama lakini bado wanakuja na porojo kuwa wanaonewa.
Akili yao wanadhani wakifutwa wanachafua nchi Kimataifa eti huo Ndiyo Mkakati wao wa Kisiasa.
Wakiambiwa Dr Wilbroad Peter Silaa ndiye alikuwa kamusi ya chama wananuna.
Tunawaambia TRAIN IKIONDOKA HAIRUDI RIVASI KAZI YA MWANAUME HAPEWI MVULANA.
Kumbe lengo la Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kutaka kuitwa na Serikali wabembelezwe eti Ndiyo warudi wallahi hii imekula kwenu siyo kwa Dr John Pombe Magufuli.
Mkakati huu umeandaliwa na Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wao hapa nchini.
Mpango huu wa kujitoa ni Mahususi ili Umoja wa Ulaya ushinikize kufanyika mkutano wa maridhiano kati ya Serikali na vyama vya Upinzani.
Taarifa kutoka ndani Chadema zinadai Mkakati huu ni ilipangwa Maalum kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi mkuu mwakani na unaratibiwa na mtu moja anayedaiwa ni ndugu wa mmoja wa Viongozi wakuu wa Chadema anayefanya kazi katika moja ya Balozi katika nchi za Magharibi.
Kosa ambalo serikali imefanya kwa Muda mrefu ni kuwadekeza na kuwapendelea vyama vya Upinzani kiasi kwamba wakajiona ni haki yao kutozingatia sheria na Kanuni.
Wamekuwa wakifanya makosa ya makusudi kabisa Hivi inaingiaje akilini chama cha siasa kukaa na Viongozi wakuu wa kukaimu kwa Muda wa miaka mitatu bila kufanya Uchaguzi ndani ya chama chao.
Inaingiaje akilini chama kinachojidai kuwa ni chama kikuu cha Upinzani kinashindwa hata kutoa ratiba ya Uchaguzi ndani ya chama pamoja na Msajili kuwaandikia barua ya kuwakumbusha kufanya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria ya Vyama lakini bado wanakuja na porojo kuwa wanaonewa.
Akili yao wanadhani wakifutwa wanachafua nchi Kimataifa eti huo Ndiyo Mkakati wao wa Kisiasa.
Wakiambiwa Dr Wilbroad Peter Silaa ndiye alikuwa kamusi ya chama wananuna.
Tunawaambia TRAIN IKIONDOKA HAIRUDI RIVASI KAZI YA MWANAUME HAPEWI MVULANA.
Hadi sasa hawatambuliwinisaidie kuelewa namna ambavyo hawo wenyeviti hawatotambuliwa.
Vyama vimejitoa vingapi? kilichojitoa ni kimoja tu .Vingine vitashiriki Kama kawaida
Mhuni ni babakohawana jipya hao wahuni tu wameona hawatapata kitu wametoka ndukiiiiii ngoja na mwakani utasikia hawaweki wagombea ubunge
just give out your predictions ya yatayotokeaUsikariri
Siku zinaenda
Jana sio leo
Wajana sio wa kesho
Historia hutengezwa kwa matukio
Kila jambo nawakati wake
Muda utakuelewesha subiri