nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Unaita uchaguzi?Ni kichaa tu ndiyo anaweza kushiriki uchaguzi huu wa kihuni
Ni uchafuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaita uchaguzi?Ni kichaa tu ndiyo anaweza kushiriki uchaguzi huu wa kihuni
Good luckNi hivi, acha tu kupata support ya hao mabeberu, apate hata ya malaika wa mbinguni who cares. Kama wagombea wako wote wametolewa kwa mizengwe unaendelea kushiriki ili umufurahishe nani? Mpaka sasa hata hicho chama hakiruhusiwi kufanya siasa na kila uchaguzi wanahujumiwa, je impact yao ni ipi? Nani aliyekuambia lazima tupate viongozi tunaowataka kwa box la kura linalohujumiwa wazi wazi? Ni nani aliyekuambia kuwa hicho chama kikorudi nyuma kwa ajili ya dhuluma, basi hao washabiki wa hicho chama automatically watahamia chama cha huyo mkandamizaji? Anzisha chama chako ushirika ili kisonge mbele.
We mpuuz kweli si ndo mlikuwa mnayataka? Saiz unajifanya unapyuyanga ujinga satanic agent mkubwaKitendo cha viongozi wa upinzani kususia uchaguzi kwa kuorodhesha mapungufu kadhaa huenda ikawa na athari kwa uchaguzi wa mwakani kwa wafuasi wao kususia uchaguzi ujao,kwani hata Kama watahamasishwa na vyama vyao bado wanachama wao wataona hakuna kilichobadilika na hivyo kutoona umhimu kushiriki uchaguzi huo..kwa hiyo waliyofanya Leo mavuno mwakani.
NAWASILISHA.
Hahahaaa.......!
Chadema bhana washaanza kujibiwa!
Anyway wananchi watawakilishwa na yoyote atakayeshinda hiyo ndio demokrasia!
Hata hivyo chadema wamechelewa sana kuchukua uamuzi huu
Kwanza nieaoongeze sana chadema kwa maamuzi hayo magumu lakini pili jambo hili ni picha ya hatari sana kwa amani na muono wa democracia msichezee .
Nionavyo mimi watu wamechoka na kwasababu wamechoka watakavyoamua hata kama wachache wakafa kaaajili ya kutetea Amani na democracy yanchi tayari watakuwa wameshaichafua nchi.
Itoshe wazee wa busara
Mzee mkapa
Mzee mwinyi
Mzee kikwete
Mzee mangula
Mzee msekwa
Mzee butiku
Mzee warioba
Na wengine wengi watoke mafichoni waseme jambo hili.
Kumbuka wengi wanatamani amani ivunjike na hata miradi ijayo hataweza kutekelezeka.
Viongoz msikubali kamwe kuingizwa katika mtego ambao mnaweza kuuzuia.
Vyama vifuatavyo vyaweza kujiondoa
Ili kufuata chama kilichotangulia
Chadema
Act wazalendo
Cuf
Mwisho sio kila jambo linahitajika ubabe mengine ni diplomasia tu
Kutopiga kura ni kupoteza haki yako kikatiba.
Good luck
Bwashee umekasirishwa sana!Nyie endeleeni kufurahia ila nina uhakika hapo ulipo hata Wazazi wako walio kuzaa wana chukizwa na haya. Ila kwa sasa kwa sababu una wazazi wakufikia wakina Jafo, Makonda na wakina Polepole unajiona wa tofauti sana
Sioni mtu wa kuvaa viatu vya Mbowe kwenye nafasi ya uenyekiti ndani ya CDM.
Namna pekee ya CDM kuweza kurudisha nguvu ya upinzani kama waliyokuwa nayo awali ni kuungana na ACT wazalendo na kumkabidhi Zitto uenyekiti Mbowe kaishiwa maarifa ya kupambana na changamoto zinazowakabili upinzani.
Unaposusa ujisaidii bali unawasaidia wenzako maana sidhani kama wanufaika wanajali sana nyuma ya pazia kama wanavyosema kwenye media.
Kwenye siasa nchi za wenzetu watu wanaposusia uchaguzi ni kwa sababu wameazimia kuingia kukiwasha mtaani.
CDM Wakifanya ivyo kuingia mtaani hawata pata support ya watanzania ya kutosha na virungu juu ambavyo kama vile watakuwa wanastahili if you ask me.
Kilichobaki kwao ni kupambana kwa namna zingine za kisheria na kutoa pressure, something which their strategist are not good at maana mbinu wanayoijua ni maandamano tu nothing else ambayo kwa sasa ni ngumu kuipata.
Lakini kususa susa kila kitu ni ishara ya kuwa Mbowe na safu yake wameishiwa na aina faida kwa movement yao.
Kitendo cha viongozi wa upinzani kususia uchaguzi kwa kuorodhesha mapungufu kadhaa huenda ikawa na athari kwa uchaguzi wa mwakani kwa wafuasi wao kususia uchaguzi ujao,kwani hata Kama watahamasishwa na vyama vyao bado wanachama wao wataona hakuna kilichobadilika na hivyo kutoona umhimu kushiriki uchaguzi huo..kwa hiyo waliyofanya Leo mavuno mwakani.
NAWASILISHA.
Kwa Vurugu zilizofanywana watendaji waliochini ya Tamisemi ilikua ni sahihi kabisa Mh Jafo kuachia ngazi
Walioenguliwa ni wale tu wenye mapungufu kwa mujibu wa wasimamizi wa uchaguzi.Sasa washiriki uchaguzi kwa wagombea gani? Wagombea wao si ndio hao wametolewa wote? Au mnataka akidi itimie
Kumbe huyu ni kilaza hivi, walipowatuma hao vijakazi wao kuhujumu uchaguzi hawakujua kuwa wanawanyima wananchi haki yao kuchagua viongozi wanao wataka?
Ni haki yako kumchagua kiongozi umtakae,na kuhusu kujulikana kwa mshindi sidhani ndio maana tunafanya uchaguzi.Haki gani ktk Taifa hili? Kupiga kura huku mshindi anajulikana hiyo ni haki?