Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Sina chama, usiseme viongozi wangu, ila naweza kuunga mkono kauli ya Mbowe kupinga UHUNI HUU KWENYE NCHI YANGU. Kuhusu kufikiria subiri uone kama walifikiria muda utaongeaViongozi wenu wanasema wawasusie viongozi watakaochaguliwa. Mi nakubali. Lakini viongozi hao walifikiria kabla ya kutoa tamko?