Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Dada wewe ni mwenyekiti mgombea, au kuna mtu wako wa karibu anagombea au ni mheshimiwa flani hivi? Mana swaga zako zaelekea huko hongera zako, unapendeza kwa posho na malupulupu yatokanayo na kodi zetuItakuwa hawana hela za kusimamia kampeni.
Hata uchaguzi mkuu itakuwa hivi. Note me!