The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Wapinzani wa hapa Tanzania wanapenda na wanaweza kufanya siasa 'kivulini'. Wakibanwa kidogo hawana mbinu nyingine zaidi ya kuridi kwa wananchi kueleza changamoto na malalamiko.
Na kwakuwa hicho hakihatarishi kibarua chao, wanaona sawa tu. Ndio msingi hasa wa nilichokisema kuwa, kuna baadhi ya viongozi wananufaika zaidi wao binafsi kwa kuendelea kuwa wapinzani. Nia yao sio kushika dola. Upinzani ni ajira bora zaidi kwao.