Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kesho yangu inategemea ushindi wa CCM, CHADEMA, CUF, ACT, nk.? Wewe uliyechagua siasa badala ya ualimu, komaa! Usinisumbue, eti tumekatwa, umekatwa wapi!wewe si juha hujui kesho yako itakuwaje!+ A new approach! of whatever means!
Ni vema majina ya hawa watendaji yakawekwa wazi. Hawa ndio tunatakiwa kuanza nao. Watengwe katika kila jambo. Watengwe kiuchumi na kijamii. Hawa ni sehemu ya shetani. Hatutakiwi kufungamana na ibilisi au hawa shetani katika umbile la mwanadamu.
Udikteta wa jiweHakuna uchaguzi hapo View attachment 1258067
hata mamayako ni mhuni tu ndiyo maana ukazaliwa kwenye choo cha bar
Wewe ni kula kulala tena kwa shemeji yako hivyo tunakusamehe bureWamedumisha Amani kwa mkono wa chuma walizoea kuvuruga amani wamekutana na jiwe gumu wameufyata
Mikurupuko Fc mmejazana lumumbaMbowe amezungukwa na washauri wabaya
toka dr slaa aondoke amekuwa na maamuzi ya kukurupuka
Kanywe sumuRubbish
NAONA WAMEWEKA MPIRA KWAPANI BAADA YA KUONA MECHI NGUMU KWAO
BORA kwenye mbio za mwenge aisee yaani humuhurumii mama yako mimba yako alibakwa chooni alikuwa amelewa siku ya kukuzaa wewe alikuwa bar chooni ukatoka wewe ukaangukia chooni mbar ndiyo maana huna akili ya kupambanua mambo akiliyako bado inanuka mkojo wa pombeAfadhali kuliko wewe uliyezaliwa baada ya kupatikana kwenye mkesha wa mbio za mwenge
Naona kawa mwana CCM halisi. Mwambieni hayo aliyozungumza leo kuwa tuyapigie kelele eye huko nyuma alikuwa akidai kuwa ni wajibu wa serikali yoyote ile.Dr Slaa ambaye ni Akili kubwa ambaye toka alivyoondoka kwenye siasa za hovyo ametoa nasaha kwa vyama vya siasa Nchini.
View attachment 1258492
Akili kubwa sana huyu Mzee
Watani wetu walitupa Slaa then tukawakopesha Mzee Ngoyai
Hizi zinaitwa hesabu kali
Kama tungerudisha tarehe nyuma Watani zetu wasingerudia maamuzi ya kutupa Slaa na wao kumchukua Ngoyai na Makongoro mahanga