CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

wewe si juha hujui kesho yako itakuwaje!+ A new approach! of whatever means!
Kwani kesho yangu inategemea ushindi wa CCM, CHADEMA, CUF, ACT, nk.? Wewe uliyechagua siasa badala ya ualimu, komaa! Usinisumbue, eti tumekatwa, umekatwa wapi!

Hii siasa imegeuka kuwa aina mpya ya taaluma, ndani ya nchi. Kuna wabovu kama wewe, wezi, mabwege, nk. hao ndo wanisumbue kutetea wakati wao hawajawahi kutetea matatizo yangu?
 
Hakuna uchaguzi hapo
tapatalk_1573197433883.jpeg
 
Afadhali kuliko wewe uliyezaliwa baada ya kupatikana kwenye mkesha wa mbio za mwenge
hata mamayako ni mhuni tu ndiyo maana ukazaliwa kwenye choo cha bar
 
Afadhali kuliko wewe uliyezaliwa baada ya kupatikana kwenye mkesha wa mbio za mwenge
BORA kwenye mbio za mwenge aisee yaani humuhurumii mama yako mimba yako alibakwa chooni alikuwa amelewa siku ya kukuzaa wewe alikuwa bar chooni ukatoka wewe ukaangukia chooni mbar ndiyo maana huna akili ya kupambanua mambo akiliyako bado inanuka mkojo wa pombe
 
Dr Slaa ambaye ni Akili kubwa ambaye toka alivyoondoka kwenye siasa za hovyo ametoa nasaha kwa vyama vya siasa Nchini.
 
Nimeelewa sera za ma - Bombadier na ma-Dreamliner n.k haziwagusi wananchi lazima awamu hii ya tano inadilike na kuja na sera zinazowagusa wananchi wote wanyonge waishio mijini na vijijini.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akili kubwa sana huyu Mzee

Watani wetu walitupa Slaa then tukawakopesha Mzee Ngoyai

Hizi zinaitwa hesabu kali

Kama tungerudisha tarehe nyuma Watani zetu wasingerudia maamuzi ya kutupa Slaa na wao kumchukua Ngoyai na Makongoro mahanga
 
Back
Top Bottom