CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Kwahiyo Dr Slaa anapingana na bosi wake? Anamaanisha mabombadia, maSGR, maukuta ya Mererani bosi wake kakurupuka kuyajenga?

Dr. Slaa anazeeka vibaya. Akili imetekwa na kupofushwa na mshahara aa ubalozi
 
Nimecheka sana anaposema kama wapinzani wataendelea kudai haki za binadamu basi wajue hayo hayamgusi mwananchi wa kawaida! Tumbo kweli mwanaharamu. Kwa bahati mbaya Slaa pamoja na wanaomtumia walitarajia bado ana mvuto ule wa zamani. Mzee alinde mlo wake tu kwa sasa.
 
Huyu ndio alikuwa mpinzani wa kweli waliobaki masnitch kina zito ni wachumia tumbo na wala ruzuku kama mbowe


State agent
Mpinzani wa kweli daima hubaki na msimamo,huyo kwasasa ni sawa na Mtumishi asiye na la kusema mbele ya Bwana wake.Atasema nini Mbele ya aliye mteua?Unafikiri hapendi ugali wake?
 
Dr Slaa ambaye ni Akili kubwa ambaye toka alivyoondoka kwenye siasa za hovyo ametoa nasaha kwa vyama vya siasa Nchini. View attachment 1258492
Dr Slaa Amelewa pesa za kujichotea.

Sisi tunajua kuwa bila haki ya kuishi huwezi kupata shule, afya, maji nk.

Sisi ni binadamu tunaoamini katika kutumia uhuru na akili kujiendeleza kufikia yote anayodai kuwa ndiyo haki.

Sisi siyo wafungwa wa CCM bali ni raia halali wa nchi hii.

Mwalimu Nyerere alikataa hizo haki zote hizo za kupewa vitu vidogo vidogo akasema Uhuru ndiyo haki kuu kushinda haki zote.

Kwani wafungwa hawana vyoo? Hawanywi maji? Hawatibiwi?

Huyu mzee anapuuza uhuru kwa kisingizio cha kupewa matundu ya vyoo na maji?

Kweli pesa zinapumbaza sana binadamu.
 
BORA kwenye mbio za mwenge aisee yaani humuhurumii mama yako mimba yako alibakwa chooni alikuwa amelewa siku ya kukuzaa wewe alikuwa bar chooni ukatoka wewe ukaangukia chooni mbar ndiyo maana huna akili ya kupambanua mambo akiliyako bado inanuka mkojo wa pombe
Pole sana maana hata kiswahili hakipandi.
Naona umetokea koromitdje juzi
 
Haya basi Lowassa amerudi nyumbani mbona hajamkimbia safari hii, mnafiki mkubwa huyo.

Huyu hana cha kuwashauri wapinzani kwani ni mnafiki tu aliyehongwa pesa na serikali ya ccm ndio akaenda kuzitumbua Canada. Bure sana huyu.
 
The same boiling water that hardens an egg,softens a potato!

Vipi yule jamaa aliyekuwa akidai hawezi kunyamazishwa naona hatoi tena matamko hata kwenye current issues za nchi hii au
Pumzi imekata aka "Battery Low"

Mwewe hushinda angani ila jua likizama hana ujanja,lazima atue tu.
 
Ameongea kama mtu aliyeshiba sawa na waitara.Nadhani ajui sera za upinzani na hawezi ongea kumkasirisha amlipae
 
Sijamuelewa anaposema ulaya wananchi hawana haki ya kupata huduma za afya, maji,...,
Kuna chama kisichokuwa na sera ya kuwaletea maendeleo wananchi?
Haki za binadamu kwanza vingine ufuata.
 
Back
Top Bottom