Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barua haijaandikwa ki maadili imejaa mipasho na vifijo
Barua haijaandikwa ki maadili imejaa mipasho na vifijo
Hawajatumia busara,wangekaa chini kujadiliana
Kuliko kukimbia
Barua imeandikwa kwa Msimamizi wa Uchaguzi na siyo Tume. Wahusika wanaelewa tatizo mashabiki aidha kwa kutoelewa Sheria, Kanuni na Taratibu za chaguzi au kwa kuelewa na kuamua kupotosha. Tuendelee kuwaelimisha.
Kama hotuba za mtu fulani!Barua haijaandikwa ki maadili imejaa mipasho na vifijo
Kwani hiyo ni barua ya malalamiko..?Jamani jamani kweli nimeamini ujinga ni mzigo yaani chama cha wasomi kama chadema hamjui kama malalamiko ya uchaguzi wa serikali za mitaa mpeleke kwenye mamlaka gani??? Kweli mnatia hurumaaa[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Barua ilitakiwa iandikwe na mwenyekiti wa Chadema sio katibu hiyo barua ni batiliHapo sawa
Kwani Tabia za kuwaengua wagombea kwenye uchaguzi zilifanyika kimaadili?Ulisikia wapi pepo anakemewa kwa kubembelezwa?Barua haijaandikwa ki maadili imejaa mipasho na vifijo