SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Point.Wengine tulishauri zamani...
Tundu Lissu hawezi kufikia peak yake akiwa Chadema...
Kile ni chama cha kikabila...
Na hilo atalijua akithubutu kupingana na Mbowe hadharani...
Atashangaa matusi yanatoka kwa watu wa eneo moja tu la nchi.
Ccm mmechachamaaaNdio UMOJA party hiyo?
======
Hebu fikiria wakiwa Serikalini itakuwaje. Total disarray.
Wasubiri 2050 na kwaavile washakubali wasamehewe(baadhi) kwa kupewa ka nusu mkate 2025 basi naona sawa tu.
Waanzishe chama chao baada ya miaka 20 hivi watakuwa wamekomaa.
Hahaa....wanajipa faraja hewaPengine mtoa mada anajiita msomi....malofa wqnazidi kuongezeka kilasiku
Ndani ya CCM, system au CHADEMA?Mtu wa ndani kabisa
Sema Ukweli ndugu.Ccm mmechachamaaa
Lissu nje ya Chadema si lolote ukumbuke cc ErythrocyteHana hiyo jeuri na itakuwa ndio mwisho wake
Nitawaunga mkono Kwa nguvu zoteFriends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Sisiemu wana biashara gani na Taifa tangia tupate uhuru wa benders hawataki kuachia wengine!!!Mbowe sijui ana biashara gani ndani ya CHADEMA.
Watoto waliozaliwa wakati anaingia kwenye uenyekiti wa CHADEMA leo hii wanagraduate chuo kikuu yeye yupo tu!.
Sasa sijui ana jipya gani aliloshindwa kulifanya ndani ya miaka zaidi ya 20 aliyokuwa mwenyekiti wa Chama!
Hamchoki na craps?Friends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Nusu mkate, yeye; kinachotajwa kama pesa chafu toka kwa mama abdul, yeye. Lakini kuna wajinga wengi wanaimba hanunuliki.Walakin picha👇🏿 inasema vinginevyo
Jf siku hizi bana, imekuwa na watoto wadogo kifikra. Hivi Lissu na Msigwa wanaweza kuanzisha chama? Kama Lissu kapigwa risasi mchana na hakuna mtz aliejaribu hata kuandamana leo ataanzisha chama? Angalia Kenya alivypigwa risasi Sheikh Rogo palipowaka. JF ya sasa humjui Professor wala mshona viatu, wote wanaleta tetesi tetesi tuFriends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
They have something in Common.Nusu mkate, yeye; kinachotajwa kama pesa chafu toka kwa mama abdul, yeye. Lakini kuna wajinga wengi wanaimba hanunuliki.
Mkuu Mbowe ana miaka 30 kwenye uenyekiti. Mtu wa miaka 30 hayuko chuo kikuu. Ashamaliza chuo muda mrefu na kufanya bodaboda mpk anakaribia kustaafu.Watoto waliozaliwa wakati anaingia kwenye uenyekiti wa CHADEMA leo hii wanagraduate chuo kikuu yeye yupo tu!.
ccm ipo miaka mingapi madarakani?Mkuu Mbowe ana miaka 30 kwenye uenyekiti. Mtu wa miaka 30 hayuko chuo kikuu. Ashamaliza chuo muda mrefu na kufanya bodaboda mpk anakaribia kustaafu.
Lissu sio Sheikh. HaijalishiJf siku hizi bana, imekuwa na watoto wadogo kifikra. Hivi Lissu na Msigwa wanaweza kuanzisha chama? Kama Lissu kapigwa risasi mchana na hakuna mtz aliejaribu hata kuandamana leo ataanzisha chama? Angalia Kenya alivypigwa risasi Sheikh Rogo palipowaka. JF ya sasa humjui Professor wala mshona viatu
Huo ni uooongooo🫠Friends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.