Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Mtoe Lipumba, ila Seif Sharif Hamad uko sahh kabisa...Mzee alipambana haswaa hadi anaingia kaburini!.Sometimes tunampa maua yake maana kupambana na CCM yahitaji uwe shujaa,na hiyo siyo kwake tuh,tumeona hata Kwa Lipumba na marehemu Seif Shariff.
Sometimes tunapata mawazo kuwa may be Mangi ni Double Agent...
Thibitisha ni wapi na lini kisu amepingana na mbowe mawazo kizani badala uwaze utajengaje chama chako unawaziawenzio mabaya ila mimi ninajua mbowe huwa hajawahi jibu mpuuzi hata siku moja yeye anasonga mbele alipokea chama kikiwa kichanga amekiongoza hadi kimekuwa cha imara kinachosumbua chama tawala kwa ccm kimejiaribu kwa kugawa bandari huku mtaani maisha magumu hela hakuna kodi zimekuwa Rundo kushawishi ni ngumuWengine tulishauri zamani...
Tundu Lissu hawezi kufikia peak yake akiwa Chadema...
Kile ni chama cha kikabila...
Na hilo atalijua akithubutu kupingana na Mbowe hadharani...
Atashangaa matusi yanatoka kwa watu wa eneo moja tu la nchi.
Rudia kusoma nilichoandika.Thibitisha ni wapi na lini kisu amepingana na mbowe mawazo kizani
Sasa mtu wa CDM atalalamika hadharani juu ya Mbowe atabaki bado mwanachama.Hakun
Hakuna mwanachama/shabikia wa Chadema anayelalamika kuhusu uenyekiti wa Mbowe pale Chadema. Wanaompigia kelele ni chawa wa ccm.
Swali: ccm wanashida gani na uenyekiti wa Mbowe?
Jibu: Mbowe hanunuliki.
Ikumbukwe Chadema ni chama kilichosajoliwa kihalali, kina katiba, na katiba inafuatwa vizuri, vinginevyo msajili ageshaingilia. (Si unakua msajili jezi yake ni ragi ya kijani?)
Mkuu. Naomba usinilishe maneno Pili, nadhani umekurupuka tu kwa uchawa wako kwa Tundu Lissu... Nikuulize, ni wapi hapa ππΏnimemtaja Tundu lissu?Kama Lissu msaliti mbona wanakaa meza moja na Rais wa nchi? Unajua maana msaliti ? acha ujuha wewe
That's true, it's called controlled opposition, left and right wings for the same Bird."The best way to control the opposition is to lead it ourselves" - V.I. Lenin
The Bolsheviks were ahead of their time. Their 100 years old blueprint on political subversion is still a Magna-Carta for repressive and ruthless regimes all over the world.
Muulize Zubeir kabwe alitamani kuongoza chadema akifikiri umaaruwake anao yeye mwenyewe kumbe anabebwa na chadema amehasi ameanzisha chama chake kasha choka na hawiki tena chama kasha kabidhi visiwani lakini mbowe bado yuko imara chama kina mizizi tangu ngazi za vitongoji na lisu na msingwa wanajitambua vema hawezi waza hayo ila uzuri chadema kuna demokrasia huwezi kuchukuliwa hatua kama ccm pale unapokuwa na mawazo tofauti ccm ukihoji hata risasi unalambwaTatizo siyo chama kuishi miaka mingapi, tatizo ni Mbowe kuwa mwenyekiti kwa miaka 30. Chama kinaeeza kuishi hata miaka 100.
Propaganda tu za Lumumba.Friends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Tatizo lako kubwa huoni kama hao ni watanzania.Walakin pichaππΏ inasema vinginevyo
Mtu mwenye Sigda kubwa kama wewe kuwa muongo ni kumuaibisha AllahFriends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Lissu anaogopwa sana na ccm kuliko Mbowe, hilo halihitaji mjadala.Mbowe pekee ndie anaweza kuongoza upinzani. Wengine wote ni bure kabisa. Na ccm inamuogopa sana Mbowe na inatamani sana Mbowe ang'atuke na ndio itakuwa kwa heri upinzani.
Just Outstanding!That's true, it's called controlled opposition, left and right wings for the same Bird.
Madhara ya Mbowe kwa Taifa ni madogo kuliko ya ccm iliyokaa madarakani tangu uhuru.Mbowe sijui ana biashara gani ndani ya CHADEMA.
Watoto waliozaliwa wakati anaingia kwenye uenyekiti wa CHADEMA leo hii wanagraduate chuo kikuu yeye yupo tu!.
Sasa sijui ana jipya gani aliloshindwa kulifanya ndani ya miaka zaidi ya 20 aliyokuwa mwenyekiti wa Chama!
napata pointi gani mpya hapo zaidi ya hali halisi ambayo ni bayana kabisa, the party is no more united
Unatumia kipimo gani kwamba tunachoongea sisi ni upuuzi na Ujinga?. Na kwamba wewe sio mpumbavu na mjinga?. Mtu asie mpumbavu na mjinga hawezi kukimbia hoja na kukimbilia ku-comand hoja zake ndio zenye mantic. Naona umepanick mzee?. Sindano imeingia. Mbowe ni bonge moja la kiongozi.Siaminigi kwenye upuuzi kama huu. Huyo Mbowe ni immortal? Acheni kuwa mnasifia upuuzi na ujinga wa namna hii.
Viongozi wa CCM wakisema kutawala milele inakuwa nongwa lakini kwa upande wa Chadema kiongozi mmoja kutawala milele ni sawa.
Halafu anatokea mtu anasema kuna vyama vya upinzani Tanzania?
Anaeamini katika wizi, uonevu, dhulma huyo ndio mpuuzi asiye na humanity yaani hana tofauti na fisi ubinafsi ndio his priorities wala hajali madhara ya huo ubinafsi kwa wengine.Siaminigi kwenye upuuzi kama huu. Huyo Mbowe ni immortal? Acheni kuwa mnasifia upuuzi na ujinga wa namna hii.
Viongozi wa CCM wakisema kutawala milele inakuwa nongwa lakini kwa upande wa Chadema kiongozi mmoja kutawala milele ni sawa.
Halafu anatokea mtu anasema kuna vyama vya upinzani Tanzania?
ππUnatumia kipimo gani kwamba tunachoongea sisi ni upuuzi na Ujinga?. Na kwamba wewe sio mpumbavu na mjinga?. Mtu asie mpumbavu na mjinga hawezi kukimbia hoja na kukimbilia ku-comand hoja zake ndio zenye mantic. Naona umepanick mzee?. Sindano imeingia. Mbowe ni bonge moja la kiongozi.